Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna habari kuwa aliye wahi kuwa waziri mkuu katika awamu ya tatu ndiye pekee mwenye uwezo wa kuongoza nchi kwa tiketi ya chama cha mapinduzi
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kuna taarifa kwamba kikao kimoja kimefanyika leo na watu wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) wamepewa jukumu la kuandaa karatasi za ziada za kupigia kura na masanduku. Kikao hicho...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
SIKU tatu baada ya mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, kuishiwa nguvu wakati akizindua kampeni za Uchaguzi Mkuu wa chama hicho akiwa jukwaani, jana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakati wa kuelekea kampeni za uchaguzi mkuu wa hapa Uingereza kulijitokeza tetesi za wasiwasi kuhusu afya ya aliyekuwa Waziri Mkuu Gordon Brown.Katika kilichotafsiriwa kama kukata mzizi wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
TUCTA lakebehi kauli ya JK Monday, 23 August 2010 11:48 Na Job Ndomba,Jijini wa Dar Leo SHIRIKISHO la Vyama Vya Wafanyakazi Nchini (TUCTA) limesema kwamba kauli ya Rais Jakaya Kikwete kuwa ni...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Wakulu; Naona kupitia Luninga ITV wanarusha Uzinduzi wa Kampeni za CCM Live
0 Reactions
176 Replies
17K Views
Kwa nini wao tu, mji safi wawe wao, kampeni tulivu wawe wao, kwa nini tusijifunze hizi tamaduni nzuri hapa ndani kwa ndani badala ya kuvuka mipaka...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
:juggle: KAMPENI KUANZA KESHO KTK VIWANJA VYA JANGWANI.....MAANDALIZI NI KABAMBE.....TUFIKE TUSIKIE SERA ZAO...KAMA NI PUMBA AMA MCHELE.....nadhani personaly ntakuwepo kusikiliza namna...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Ndugu Watanzania, napenda kungia kwenye jukwaa hili kwa kujiuza hivi Taifa letu linaendelea kweli au tunarudi nyuma bila kujijua? Kwanza kabisa najiuza Tunajenga miji ya aina gani? Inasikitisha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mojawapo ya mafanikio yaliyotajwa ambayo taifa limefikia chini ya utawala wa CCM ni kuboresha elimu. Hvi ndivyo elimu ilivyoboreshwa nchini. Huu ni mfano wa darasa moja tu. Hali hii inajirudia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kitendo cha yeye kusema kuwa hakuzikataa kura za wafanyakazi ni sawa na kutuona tusio na ufahamu. Hotuba yake aliyoitoa akihutubia wazee wa CCM wa DSM tunayo. HATUDANGANYIKI NG'O!!!!
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nilitoka kuangalia mpira. Najaribu star tv nakuta kuna kampeni za CCM. Wasanii akina Flora Mbasha nao wametinga Mwanza. Sasa hivi anahutubia Bilal
0 Reactions
113 Replies
13K Views
inashangaza kuona rais aliyekaa madarakani kwa miaka mitano jinsi chama chake kinavyopata shida kwenye kulazimisha watu wamkubali mgombea wao kwa kuandaa mabango ya kila aina,kufanya kila aina ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Spin masters kama kawaida yao! Wanasema angefika Mwanza asubuhi mpaka sasa hivi hajafika bado sijui asubuhi haijaisha? Why not take a rest mkuu??????????????????
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Eti wakuu "Profesa na Mwanasiasa" ni nani zaidi "kibongobongo"?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana JF, ma hasa wale Waisilamu napenda kuwafahamisha kwamba kuna uwezekano mkubwa JK hakuwa ana mazoea ya kufunga Mwezi Mtukufu wa Ramadhani -- ila ameanza kutimiza nguzo hiyo miaka hii...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kitu kinachonikera kwa tv zetu zote hasa wa startv na TBC ni pale wanapoacha kazi yao na kujiingiza kupiga kampeni. Wanaeleza hisia juu ya chama fulani kuliko kufanya kazi ya kuripoti kile...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, anayewania ubunge katika Jimbo la Hai, amewekewa pingamizi kwa madai ya kukwepa kulipa kodi ya serikali inayofikia Sh. milioni 48.
0 Reactions
32 Replies
4K Views
wimbo wa harambee unaotumiwa na ccm utakuwa mzuri tu pale ile sehemu ya kuwachanachana na kuwatupa wapinzani itakaporekebishwa kwani inaweza kuleta hisia za ubaguzi kwa watanzania wengine...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF, tumeona jinsi Tume ya Uchaguzi (NEC) ilivyakazania kuvisainisha vyama (kwa maana ya viongozi wao wakuu) kwenye hati kwamba watafanya kampeni za kistaarabu, bila vurugu, bila matusi etc...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…