Baija Bolobi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 1,093
- 1,726
Wana Jamvi
Ugonjwa unaomsumbua Rais Kikwete uitwao "AHADIsm" umeendelea kusambaa kwa kasi na hali yake sasa ni mbaya. Wasaidizi wake wanaofuatana naye katika safari za Kampeini wameniambia, hawawezi kutunza kumbukumbu za ahadi zake na idadi yake. Katika mikoa ya Kigoma, ameahidi yafuatayo:
-Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Kigoma
-Hospitali ya Rufaa Kigoma
-Hospitali ya kutibu figo Kigoma
-Meli mpya ziwa Tanganyika na Ziwa Nyasa
-Daraja la mto Malagarasi
-Barabara ya lami kutoka Tabora hadi Kigoma
-Hospitali ya Wilaya Ujiji
Jamani mwenye dawa asaidie
-
Ugonjwa unaomsumbua Rais Kikwete uitwao "AHADIsm" umeendelea kusambaa kwa kasi na hali yake sasa ni mbaya. Wasaidizi wake wanaofuatana naye katika safari za Kampeini wameniambia, hawawezi kutunza kumbukumbu za ahadi zake na idadi yake. Katika mikoa ya Kigoma, ameahidi yafuatayo:
-Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Kigoma
-Hospitali ya Rufaa Kigoma
-Hospitali ya kutibu figo Kigoma
-Meli mpya ziwa Tanganyika na Ziwa Nyasa
-Daraja la mto Malagarasi
-Barabara ya lami kutoka Tabora hadi Kigoma
-Hospitali ya Wilaya Ujiji
Jamani mwenye dawa asaidie
-