Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
Kama ilivyo CHADEMA chama kisikivu tunaomba Timu ya Kampeni ya CHADEMA itupatie anuani za email za kuweza kuwasilisha maoni yetu kama wadau kuhusu mambo ushauri wetu kwa kuwa wakati wa kampeni zikiendelea wahusika wote mnakuwa mko busy hivyo si rahisi kugundua dosari ndogo ndogo zinazohitaji marekebisho