Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Kama umaangalia kipindi kilichooneshwa na TBC1 mdahalo wa wagombea wote wa ubungo
Mnyika, Julius na wa CCM na wengine
Mama wa CCM alipoamka kuhitimisha alianza kuzomewa wa wasikilizaji waliokuwa studio
sijui kwanini alizomewa mana alipopewa nafasi ya kuhitimisha alitika kujibu swali la dada aliyemuuliza mwanzoni(bahati mbaya sikuweza kupata hilo swali)
Mnyika, Julius na wa CCM na wengine
Mama wa CCM alipoamka kuhitimisha alianza kuzomewa wa wasikilizaji waliokuwa studio
sijui kwanini alizomewa mana alipopewa nafasi ya kuhitimisha alitika kujibu swali la dada aliyemuuliza mwanzoni(bahati mbaya sikuweza kupata hilo swali)