Wale wanaoweza watuwekee ilani za vyama mbalimbali ili tulio katika forum hii tuweze kufanya uchambuzi makini, tuache ushabiki wa majukwaani.
Tukiwa na Ilani ndio tutajua mgombea gani anasema ukweli na yupi ni makini katika utendaji.
Hii pia itasaidia kujua yale yanayosemwa humu ukumbini, kama AHADI teletele za Kikwete na Chama chake au UFISADI unaosemwa na Slaa na chama chake vipi kwenye Ilani au ni usanii tu!
Tukiwa na Ilani ndio tutajua mgombea gani anasema ukweli na yupi ni makini katika utendaji.
Hii pia itasaidia kujua yale yanayosemwa humu ukumbini, kama AHADI teletele za Kikwete na Chama chake au UFISADI unaosemwa na Slaa na chama chake vipi kwenye Ilani au ni usanii tu!