Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Vurugu za kisiasa zinazotokea Zanzibar kwa sasa na sehemu zingine wakati wa uchaguzi Tanzania bara zinatoa fundisho moja kubwa kuwa vyama vingi havijengi umoja wa kitaifa. Ingawa inaweza kuonekana...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Mafisadi wakomba zaidi ya shilingi trilioni moja serikaliniNI FEDHA ZA BAJETI YA WIZARA SITA Na Mwandishi Wetu ZAIDI ya Sh1 trilioni zimechotwa nyakati tofauti kutoka serikalini katika miaka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
A few months before Thabo Mbeki was "recalled" from the South African presidency by his party, ANC, two biographers published 'Fit to Govern: The Native Intelligence of Thabo Mbeki' and 'Thabo...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kwa mudamrefu nimekuwa najiuliza hivi ndugu kikwete ni kweli unashindwa kuamini kwamba Dr. Idris Rashid alihusika ktk kashfa ya rada, IPTL? mpaka unaendelea kumpa vyeo ambavyo hata hivyo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
http://www.alternet.org/story/141734/why_corporations,_emerging_powers_and_petro-states_are_snapping_up_huge_chunks_of_farmland_in_the_developing_world That exponential process will only be...
0 Reactions
1 Replies
893 Views
Waraka wa Kanisa Katoliki umeungwa mkono na pia umepingwa na watu wa aina mbalimbali. Lakini watu wengi waliweza kusema kwa jumla tu kuwa ni mzuri au mbaya bila kusema ni mambo gani yamewagusa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mkataba wa TRL hauvunjwi ng'o ! 17 September 2009 Majira Waziri wa Miundombinu Dkt. Shukuru Kawambwa akisisitiza jambo mbele ya waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu azma ya...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Kuwa kwangu mtanzania naona kunaniongezea stress tu, kila nikifiria jinsi nchi inavyokwenda naona sioni mwanga kila kitu kinakatisha tamaa, naona nakosa furaha kila siku,skendo ndo zinaongezeka...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Kabla ya kuletwa tena na serikali ripoti ya utekelezaji wa maamuzi ya bunge juu ya richmond Lowassa atakuwa amesafishwa rasmi-siyo na bunge, siyo na magazeti bali na rafiki wa siku nyingi na...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Mara nyingi sana huwa napata shida sana katika kujua Taifa letu linahitaji katika Ustawi wake, Waziri Mkuu wa Tanzania Mh pinda hivi karibuni alikuwa katika Mataifa mbalimbali ya Asia kwa ajili...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
... Imefikia wakati sasa nchi yetu inahitaji msukumo mpya, msukumo wa kifikra na kiuongozi (kila siku huwa tunalilia uchaguzi lakini matokeo ya uchaguzi mara zote huwa tunayafahamu hakuna...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
UPELELEZI wa kesi inayomkabili mlemavu Anney Anney (58), ya kumkashifu Rais Jakaya Kikwete, umekamika na itaanza kusikilizwa kwa mshitakiwa kusomewa maelezo ya awali, Septemba 30. Kesi hiyo ipo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nini kiliongelewa katika kikao cha NEC?, mkweli ni nani? Balozi zashituka Sitta kuandamwa Wa Sweden aenda hadi ofisi za CCM Msekwa aziandikia waraka kuzipoza Akiri NEC ilikosea taratibu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama katibu wa CCM mkoa wa Lukuvi anamilki Mercedes Benz lamamilioni ya pesa, halafu m2 mwenyewe ni std 7, najuliza hv humu chamani kuna biznesi gani mpaka mtu akareizi from ukapuku mpaka kumiliki...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
2009-09-18 07:36:00 Loliondo: Tamwa slams state By Florence Mugarula The Citizen Human Rights activists in Dar es Salaam have criticized the government for arresting residents of Loliondo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwanini sitta na wenzake hawaondoki CCM? Watu wengi wakiwema hata wasomi wakubwa katika nchi hii wanajiuliza kwa nini sitta na watu wenye msimamo kama wake hawaondoki CCM na kuunda chama chao au...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
na Happiness Katabazi HALI ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kunyamazisha viongozi wa dini ni tambiko la ombwe la uongozi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Baada ya kutokea mshangao mkubwa kwa wanaJF na maswali mengi kubaki wazi kutokana na kitendo cha Wazee wa Chadema kumwomba Mh Zitto kutogombea Wenyekiti wa Chadema, nadhani walifanya kitendo hicho...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Katika taarifa ya habari ya ITV jana jana usiku katibu mkuu wa CCM Mh. Yusuph Makamba akiwa jimboni kwa Spika wa Bunge Mh Sitta huko Urambo Mashariki amemsifia Spika huyo kwa maneno mengi ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom