Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa mtazamo wa haraka haraka katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, nimeshuhudia wanasiasa wengi wakishidwa kutimiza ahadi walizotupa hapo mwanzo. Na sasa wanarudi tena katika majukwaa ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dear JF Members, I know some of you, have much expectation in this year general election... e.g. expecting president coming from opposition camp or even thinking of better composition of...
0 Reactions
1 Replies
972 Views
Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu zoezi la kampeni na mbwembwe zote za wanasiasa.Mwaka huu inaonesha wapinzani kweli wamepiga hatua tofauti na huko nyuma.Swali langu kwa wana JF na wote...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama ni kuelezea sera mbona CCM wao 80% ya muda wa kampeni wanapiga miziki Kama ni kuelezea sera mbona CCM wanatumia muda mwingi kukejeri wapinzani(tutawachana) Kama ni kuelezea sera mbona CCM...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Gazeti la habari Leo limekuwa kama la Udaku kwa kuweka vichwa vya habari vinavyojaribu kumchafua Dr Slaa lakini nadhani nao wanataka kukataliwa na kuonekana Vipeperushi kama RAI, Mtanzania, na...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kisa ni wakazi wa Kigamboni kuambiwa mpango mji unataka kubomoa nyumba zao. Fuatilia kwenye video hii...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa CCM Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na viongozi wa CCM wa Ubungo na Kinondoni katika ukumbi wa Ubungo plaza jijini Dar es Salaam jana. Rais jakaya Kikwete akihutubia...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Tunafahamu kuwa mgombea wa CCM,Jakaya Kikwete,ni mahiri sana katika kutoa ahadi.Wakati wa kampeni zake za kuwania urais kwa mara ya kwanza mwaka 2005 alitoa rundo la ahadi ambazo hata angekuwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika hali inayoonyesha kuanza kushika moto kwa Kampeni, CCM imeonekana kubadili mbinu zake ambapo sasa katika mikoa ya kanda ya ziwa Maji aina hii yameanza kuingia mitaani yakiuzwa. Na...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Kitendo cha mtatiro kugombea ubungo kimeudhi wengi tukiwemo wanaharakati wenzie tuliokuwa naye pale chuo.kwani hukuwepo wakati mnyika anaibiwa ushindi na keenja? Sasa nawe umeweka ili utawanye...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Aonya wakibweteka wapinzani watashinda Awataka wajibu kero za wananchi Awaagiza Ilani wamwachie yeye Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wanafunzi wetu wa vyuo vikuu ni mafisadi na mazezeta.hawapiganii zaidi ya hela za mikopo.ona sasa hivi karibia wote hawatapiga kura na hatujaona kama hilo linawagusa.wameenda shule ila ujinga bado...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wachambuzi wa mambo ya kisiasa hapa Tanzania wanasubiri kuona kama Tendwa ataamua kujiwekea historia katika siasa za Tanzania kutokana na maamuzi atakayoyafanya kuhusu pingamizi alilowekewa...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Nimekuwa nikijiuliza sana, pamoja na ufisadi mkubwa uliofanywa na kikwete na CCM kwa ujumla ambao hakuna mtanzania yeyote anayeweza kupinga ,maana kila kitu kiko wazi na hata CCM wanakili kufanya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nilifurahi sana baada ya kumpigia jamaa yangu mwenye Number ya tigo...kwa kutumia Tigo na kusikia wimbo wa Kampeni wa CHADEMA "CALLER BACK TUNES" Wenye baadhi maneno yafuatayo "Huzuni kwa...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Mgombea wa Chadema ambwaga Malima baada ya kukata rufaa NEC. Zingine zinakuja! Source: Daily News | Chadema calls for head of Nyamagana returning officer By KATARE MBASHIRU, 3rd September 2010...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hivi Dr.Slaa atafanya nini baada ya uchaguzi??Cos muelekeo wa upepo unaonyesha hatakuwa Magogoni.Any idea???
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba kuuliza suala la babu seya.mawakili waliojitokeza kumtetea wako wapi?na hivi alifanya nini vile?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Bermuda company granted raw tanzanite export ban exemption? By Correspondent 4th September 2010 Email Print Comments...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wiki iliyopita chombo kikuu cha dola kilitoa matangazo yasiyo ya kawaida katika vyombo vya habari kuwa inatarajia kuajiri madereva wasio na idadi wenye elimu kuanizia darasa la Saba. Na wanaotaka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom