Elimu ya juu nao mafisadi

Plato

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
420
94
Wanafunzi wetu wa vyuo vikuu ni mafisadi na mazezeta.hawapiganii zaidi ya hela za mikopo.ona sasa hivi karibia wote hawatapiga kura na hatujaona kama hilo linawagusa.wameenda shule ila ujinga bado umewajaa
 
hilo ni kweli wanaongoza UDOM wanafuata SAUTI,TUMAINI,DUCE na wenginne including ivukoni mzumbe na udsm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom