Elections 2010 Mhe. Jakaya Kikwete ateka Kawe, Ubungo na Mbagala

n00b

JF-Expert Member
Apr 10, 2008
1,006
2,667
09_10_t03q1v.jpg

Mwenyekiti wa CCM Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na viongozi wa CCM wa Ubungo na Kinondoni katika ukumbi wa Ubungo plaza jijini Dar es Salaam jana.



JK+akihutubia+wana+CCM+wa+jimbo+la+Ubungo,+ukumbi+wa+Ubungo+plaza.jpg

Rais jakaya Kikwete akihutubia wana CCM wa jimbo la Ubungo, ukumbi wa Ubungo plaza



Kadi+za+CUF+baada+ya+wenye+nazo+kiasi+cha+80+hivi+kuamua+kurejea+CCM.jpg

Kadi za CUF baada ya wenye nazo kiasi cha 80 hivi kuamua kurejea CCM


Wanachama+wapya+wa+CCM+wakila+kiapo+baada+ya+kutoka+CUF+uwanja+wa+Zakheem,+Mbagala.jpg

Wanachama wapya wa CCM wakila kiapo baada ya kutoka CUF uwanja wa Zakheem, Mbagala.


Mwana+CCM+akita+hoja+ukumbi+wa+Nakiete,+Mbezi+Beach,+wakati+JK+alipokutana+na+wanachama+wa+jimbo+la+Kawe.jpg


Mwana CCM akita hoja ukumbi wa Nakiete, Mbezi Beach, wakati Jakaya Kikwete alipokutana na wanachama wa jimbo la Kawe


wana+CCM+wa+jimbo+la+kawe+wakimsikiliza+JK+ukumbi+wa+Ubungo+plaza.jpg

wana CCM wa jimbo la Kawe wakimsikiliza Jakaya Kikwete ukumbi wa Ubungo plaza.


Umati+uwanja+wa+Zakheem+Mbagala+leo+kwenye+mkutano+wa+kampeni+wa+JK.jpg

Umati uwanja wa Zakheem Mbagala jana kwenye mkutano wa kampeni wa Jakaya Kikwete



Uwanja+wa+Zakheem,+Mbagala,+ulitapia+wana+CCM+wakati+JK+alipowahutubia.jpg

Uwanja wa Zakheem, Mbagala, ulitapika wana CCM wakati Jakaya Kikwete alipowahutubia.

Picha na maelezo ni kwa mujibu wa blog ya Haki Ngowi

Hivi hizi kadi za CUF mbona naona mpya sana? Si FEKI hizi?
 
Naanza kuwa na mashaka juu yako.
Mimi ndo nakuwa na mashaka na wewe, utakuwa CUF si bure. Wambie viongozi wako watwambie kama hizi nazo ni feki tujue kuwa uchakachuaji wa kadi za vyama umeanza rasmi ndani ya CCM.
 
Hivi hizi kadi za CUF mbona naona mpya sana? Si FEKI hizi?


Ukweli ni kwamba watu walewale wanajikusanya (wanapeana ratiba), wanavalishwa uniform za kijani/njano, wanalipwa (ndiyo kuhongwa?), halafu wanazunguka mji mzima (kujaza watu kwenye mikutan0), wanaigiza kuhama upinzani (na kurudisha kadi feki), n.k.
 
Kadi za CUF zina size ya A4 au changa la macho? siamimi kama kadi zina ukubwa wa daftari
 
Ukweli ni kwamba watu walewale wanajikusanya (wanapeana ratiba), wanavalishwa uniform za kijani/njano, wanalipwa (ndiyo kuhongwa?), halafu wanazunguka mji mzima (kujaza watu kwenye mikutan0), wanaigiza kuhama upinzani (na kurudisha kadi feki), n.k.
I suspected this. Bahati mbaya sijaanza kufuatilia baadhi ya sura kuona kama zipo kila mkutano, kuanzia leo naanza kufuatilia
 
Ukweli ni kwamba watu walewale wanajikusanya (wanapeana ratiba), wanavalishwa uniform za kijani/njano, wanalipwa (ndiyo kuhongwa?), halafu wanazunguka mji mzima (kujaza watu kwenye mikutan0), wanaigiza kuhama upinzani (na kurudisha kadi feki), n.k.

CCM haiwezi kufanya mchezo wa kitoto kama unavyodhani.Ni ukweli mtupu kwamba wanachama wengi wa vyama vya upinzani wanarudisha kadi na kujiunga na CCM.Hii ni kutokana na vyama vya upinzani kuwa na migogoro mingi,halikadhalika hakuna matumaini yeyote ya vyama hivyo kushinda kiti cha urais katika uchaguzi wa 2010.
 
Broda, hayo ni maigizo hayo!...
Ni mipango iliyopangwa ikapangika,..period!


Hayo siyo maigizo,ni ukweli mtupu .Wanachama wa CUF wamemchoka LIPUMBA kwa kuwa ni mbinafsi, anataka kugombea kiti cha urais pekeyake tu,hataki mtu mwingine agombee pamoja na ukweli kwamba amekuwa akishindwa katika chaguzi zote zilizopita .Safari hii atashindwa vibaya zaidi na wanachama wa CUF wataendelea kukihama chama hicho
 
Kadi za CUF zina size ya A4 au changa la macho? siamimi kama kadi zina ukubwa wa daftari


Sioni hilo tu, ila nashangaa hao wanachama wapya ni kina mama tu, waone kwenye picha, halafu wanaelekea kutokea kwenye imani moja! Ukiona hivi unapata kigugumizi kama kweli ni kwa hiari yao au wameshurutishwa. Pili, nadhani kichwa cha habari kimekuwa 'exaggerated', kufanya mkutano kwenye ukumbi, sidhani kama kweli ni sawa na anayefanya kwenye uwanja kama Jangwani pale. Naamini aliposti hii ana ajenda zaidi ya anachotaka kusema
 
Masikini weeee, waone wenzetu ,wamevalishwa kofia na t shirt, basi watauza haki yao, then badae wataanza kulalamika , mara foleni, mara hatuna ambulance, mara jamaa anasafiri sana. huku akiwa keshasahau t sirt na kofia aliyovalishwa. Jamani tutabadilika kweli kirahisi?.natamanni siku moja niamke asubuhi nikute wananchi wote wamefumbuka macho.
 
Mikutano ya CCM yote ni wizi mtupu, daladala karibu zote jana zilikuwa zimekodishwa na ccm kwa ajiri ya kuchukua watu wa kuhudhuria. Hii ni tofauti sana na CUF na CHADEMA ambapo watu wanajitokeza kwa hiari bila kulipiwa gharama za usafiri au kupewa posho yoyote na vyama vyao
 
09_10_t03q1v.jpg

Mwenyekiti wa CCM Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na viongozi wa CCM wa Ubungo na Kinondoni katika ukumbi wa Ubungo plaza jijini Dar es Salaam jana.



JK+akihutubia+wana+CCM+wa+jimbo+la+Ubungo,+ukumbi+wa+Ubungo+plaza.jpg

Rais jakaya Kikwete akihutubia wana CCM wa jimbo la Ubungo, ukumbi wa Ubungo plaza



Kadi+za+CUF+baada+ya+wenye+nazo+kiasi+cha+80+hivi+kuamua+kurejea+CCM.jpg

Kadi za CUF baada ya wenye nazo kiasi cha 80 hivi kuamua kurejea CCM


Wanachama+wapya+wa+CCM+wakila+kiapo+baada+ya+kutoka+CUF+uwanja+wa+Zakheem,+Mbagala.jpg

Wanachama wapya wa CCM wakila kiapo baada ya kutoka CUF uwanja wa Zakheem, Mbagala.


Mwana+CCM+akita+hoja+ukumbi+wa+Nakiete,+Mbezi+Beach,+wakati+JK+alipokutana+na+wanachama+wa+jimbo+la+Kawe.jpg


Mwana CCM akita hoja ukumbi wa Nakiete, Mbezi Beach, wakati Jakaya Kikwete alipokutana na wanachama wa jimbo la Kawe


wana+CCM+wa+jimbo+la+kawe+wakimsikiliza+JK+ukumbi+wa+Ubungo+plaza.jpg

wana CCM wa jimbo la Kawe wakimsikiliza Jakaya Kikwete ukumbi wa Ubungo plaza.


Umati+uwanja+wa+Zakheem+Mbagala+leo+kwenye+mkutano+wa+kampeni+wa+JK.jpg

Umati uwanja wa Zakheem Mbagala jana kwenye mkutano wa kampeni wa Jakaya Kikwete



Uwanja+wa+Zakheem,+Mbagala,+ulitapia+wana+CCM+wakati+JK+alipowahutubia.jpg

Uwanja wa Zakheem, Mbagala, ulitapika wana CCM wakati Jakaya Kikwete alipowahutubia.

Picha na maelezo ni kwa mujibu wa blog ya Haki Ngowi

Hivi hizi kadi za CUF mbona naona mpya sana? Si FEKI hizi?

Weraaaaaaaaaaaaaaa weraaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
CCM haiwezi kufanya mchezo wa kitoto kama unavyodhani.Ni ukweli mtupu kwamba wanachama wengi wa vyama vya upinzani wanarudisha kadi na kujiunga na CCM.Hii ni kutokana na vyama vya upinzani kuwa na migogoro mingi,halikadhalika hakuna matumaini yeyote ya vyama hivyo kushinda kiti cha urais katika uchaguzi wa 2010.

Ama kweli nyani hauoni kundule! Kuna chama chenye migogoro sasa hivi kushinda CCM? Chama gani kilichokimbiwa na makada wake maarifu kushinda CCM?
 
Ama kweli nyani hauoni kundule! Kuna chama chenye migogoro sasa hivi kushinda CCM? Chama gani kilichokimbiwa na makada wake maarifu kushinda CCM?

Halafu wakaenda wapi??????????Cha ajabu wakitoka CCM kwenda upinzani wanapewa ishu muhimu.Wakati ndani ya Chama kikubwa kama CCM wamekuwa proved kwamba hawafai.
 
Weraaaaaaaaaaaaaaa weraaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Shangilia Tu. Ila kaka kuna wanaoishi haya maisha, Najua huamini kama hii ni Tanzania, Lakini Hii Ndio Tanzania ya Kikwete Kule Njombe. Watoto wanaenda kubeba Mahindi,


Mungu tusaidie tuepukane na utawala huu Wa ccm.


Moja kati ya ajira mbaya kwa watoto mkoani Iringa ,japo ni sehemu ya malezi ila mzigo huu ni mzito sana hii ni adhabu sio malezi tena
Hata bila punda lazima mkokoteni huu utafika tu hakuna ujanja

Watoto wakazi wa Wangama wilaya ya Njombe mkoani Iringa ambao majina yao hayakuweza kupatikana mara moja wakikokota mkokoteni wa kuvutwa na wanyama ,wakielekea kubeba mahindi shambani kama walivyokutwa leo majira ya jioni,kwa kawaida mkokoteni huu hukokotwa na wanyama kazi sio binadamu kama hivi
 
Lakini nafikiri Kikwete ndiye rais anayeongoza kwa kudanganywa na watendaji wake, kuanzia serikalini mpaka kichama!
 
Halafu wakaenda wapi??????????Cha ajabu wakitoka CCM kwenda upinzani wanapewa ishu muhimu.Wakati ndani ya Chama kikubwa kama CCM wamekuwa proved kwamba hawafai.
Wewe kibonde kweli ,hujui kuwa mpinga ufisadi kwa CCM ni mtu asiyefaa, bali anayekumbatia ufisadi ndio kiongozi mzuri anayekubarika. mifano hii hapa lowasa fisadi papa approved, chenge fisadi approved, kikwete fisadi approved,RA FISADI approved na nk.
 
Back
Top Bottom