Nimekuwa nikijiuliza sana, pamoja na ufisadi mkubwa uliofanywa na kikwete na CCM kwa ujumla ambao hakuna mtanzania yeyote anayeweza kupinga ,maana kila kitu kiko wazi na hata CCM wanakili kufanya ufisadi huo!!. Kwa nini basi bado kuna watanzania wanamshabikia kikwete??, Tena nasikia huko kusini wamehaidi kumpa kura nyingi tu!!
Naomba nieleweshwe mambo yafuatayo
Je, wananchi hawataki kuamini ufisadi uliofanywa na viongozi wao , ambao viongozi wao wamekiri kufanya ufisadi huo?
Je, ni ile dhana ya kusema kwamba wananchi walipo kuwa wanasema ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI WA CCM, ni sawa na kuweka agano na miungu ya CCM? kwamba chochote watakachosema viongozi wa CCM kiwe kibaya ,kizuri fikra zao zidumu ni kweli?
Je, ni kwamba watanzania, hawajali maisha yao , ya watoto wao, ya wajukuu wao? ndo maana hawaoni umuhimu wa kuchagua viongozi wazuri na wenye nia njema na nchi yao?
Naomba nieleweshwe mambo yafuatayo
Je, wananchi hawataki kuamini ufisadi uliofanywa na viongozi wao , ambao viongozi wao wamekiri kufanya ufisadi huo?
Je, ni ile dhana ya kusema kwamba wananchi walipo kuwa wanasema ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI WA CCM, ni sawa na kuweka agano na miungu ya CCM? kwamba chochote watakachosema viongozi wa CCM kiwe kibaya ,kizuri fikra zao zidumu ni kweli?
Je, ni kwamba watanzania, hawajali maisha yao , ya watoto wao, ya wajukuu wao? ndo maana hawaoni umuhimu wa kuchagua viongozi wazuri na wenye nia njema na nchi yao?