Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wana-JF wapenda mabadiliko ya kweli yenye manufaa kwa nchi yetu hatuna budi kumpongeza kwa dhati kutoka ndani ya nyoyo zetu Dk. Wilbroad Peter Slaa kwa kazi nzuri na kubwa mno aliyoifanya kwa...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Jamani hawa jamaa wanaoitwa polisi wamepewa kura za kuchakachua matokeo wanapovamia kituo ambacho hakijatangaza matokeo yake wanakuja na kura nyingine ambazo ni feki then baada ya muda wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau wanachama wenye mapenzi mema na CCM na wapiganaji wa kweli wa maendeleo ndani ya chama hicho wameanza mkakati wakumtaka Mwakyembe aombe uspika. Ila habari zisizothibika kundi zito la...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi sasa niko kigoma mjini na matokeo ni kama ifuatavyo: Kigoma mjini : Chadema wameongoza kwa kura 400, serukamba wa ccm kagoma kusaini matokeo so wameomba recount na sasa kura zinahesabiwa...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Baada ya ccm kutangaza nafasi wazi mbili; uspika wa Bunge la muungano na ule baraza la wawakilisi, kuna tetezi kuwa Lowasa anakamia nafasi ya uspika wa Bunge na anajiandaa kwenda kuchukua fomu.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakati tunazidi kusubiri matokeo yachakachuliwe! Tukumbuke pia kuwa leo ni uchaguzi US. Ambako inasemekana Democrats watapoteza majority kwenye senate, hii ni kutokana na hali mbaya ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni kama nilivyoeleza hapo juu, aliyetangazwa mshindi CHADEMA ni mbozi magharibi na sio mbozi mashariki kama ilivyoelezwa hapo awali
0 Reactions
4 Replies
2K Views
DAKIKA MBILI ZILIZOPITA 1610HRS Ffu walikuwa wanakuja mbio kuwaadhibu washabiki wa chadema anatoglo wakakutana na wafuasi wa chadema wanatoka na ushidni ikawabidi wao wasimame wakae pembeni na...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Rose Kamili agoma kusaini matokeo Tuesday, 02 November 2010 19:36 0diggsdigg Mussa Juma, Karatu MGOMBEA wa ubunge jimbo wa Chadema, katika jimbo la Hanang, Rose Kamili ambaye ni mke wa zamani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
NIMEFUATILIA KWA KARIBU MNO KAMPENI NA MCHAKACHO MZIMA WA UCHAGUZI ZANZIBAR, KWA MARA YA KWANZA CUF WAMEIBOMOA PAKUBWA NGOME YA CCM UNGUJA. TAFSIRI YAKE KUWA USHINDI KWA CUF ULIKUWA DHAHILI, SASA...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wote tumeponzwa na uvivu wetu wa kupenda kujumlishiwa matokeo na Tume. Matokeo yake hata yalipochelewa hakuna aliyekuwa anaweza kusema fulani ana kiasi gani hata kufanya kauli "lete data" itawale...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani naombeni taarifa kama kuna mtu mwenye data kama huyu mama kashinda maana bado tunamhitaji bungeni hata kama ni wa kijani
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF, Napenda kuwapa habari zilizo jili mitamboni kwetu kuwa viongozi wa CCM katika wilaya hizi 3 Ilemela,Nyamagana na Arusha mjini. Viongozi hawa watakuta katika majimbo yao na kujadilia na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama kuna uchakachuaji wa kura basi wafuatao ndio watwishwe lawama zote Hon. Retired Judge Lewis M. Mkame - Chairman Hon. Judge Omary O. Makungu - Vice Chairman Hon. Prof. Amon E. Chaligha -...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye data amwage zaidi kwani ni habari ya kweli:A S-baby::caked:
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mungu wetu; Ulitupatia Tanzania na watu wake (nikiwemo mimi, na wengine), mbona sasa unaruhusu watu wako wapigwe mabomu kisa wamechagua UPINZANI? Je, wapinzani si wa Tanzania? Je, hakuna sehemu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa mahesabu ya haraka haraka upinzani kwa bara umeongeza viti vya ubunge kwa asilimia 383 kuacha viti maalumu(kutoka viti 6 hadi 29). Hi inamaanisha kwamba kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 upinzani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Katika post za awali kuna mtu mmoja ameuliza swali hilo, mimi naona nimjibu kwa mtazamo wangu binafsi, kwa ufupi Dr Slaa ataingia Bungeni muda si mrefu, kumbuka huwa kunakuwaga na chaguzi mdogo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni jambo lisiloingia akilini eti kikwete amemzidi Dr. Slaa hata kwenye majimbo ambayo wagombea ubunge wa Chadema wameshinda. Wananchi wengi mitaani wanashangaa na wanashindwa cha kufanya zaidi ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nina anadika kama Mtanzania ninayeipenda sana nchi yangu na ambaye nimekuwa na kiu sana ya kuona matokeo ya kuwa na vyama vingi vya siasa. Kwasababu vyama vingi vya siasa vinawezesha kuwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…