Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
Baada ya ccm kutangaza nafasi wazi mbili; uspika wa Bunge la muungano na ule baraza la wawakilisi, kuna tetezi kuwa Lowasa anakamia nafasi ya uspika wa Bunge na anajiandaa kwenda kuchukua fomu.
Kama kweli basi ndio watanzania watakapotambua kwamba CCM na JK hawana nia njema na hii njchi ............. :A S angry:Baada ya ccm kutangaza nafasi wazi mbili; uspika wa Bunge la muungano na ule baraza la wawakilisi, kuna tetezi kuwa Lowasa anakamia nafasi ya uspika wa Bunge na anajiandaa kwenda kuchukua fomu.
Baada ya ccm kutangaza nafasi wazi mbili; uspika wa Bunge la muungano na ule baraza la wawakilisi, kuna tetezi kuwa Lowasa anakamia nafasi ya uspika wa Bunge na anajiandaa kwenda kuchukua fomu.