Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nachelea kusema kuwa mamlaka aliyopewa Rais kuunda tume ya uchaguzi anyang'anywe mara moja kwani hapo hakuna democrasia hata kidogo. Nafikiri ijumuishe pia wapinzani ili kuondoa huu upuuzi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari ndio hiyo ,tutabaki kulalamika tu humu katika forum .
0 Reactions
8 Replies
2K Views
naomba unisaidaie kupeleka habari hii kwa wana jamii kwamba nyumba iliyopo kwembe mpakani kilomita 2 kutoka barabara ya mororgoro ukipitia pale kituo cha mafuata cha natoil kabla ya kibamba...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
If I am wrong someone to criticize me please. Naona kama jana ndo ilikuwa mwisho wa kutangaza ushindi kwa majimbo ambayo yamechukuliwa na wapinzani. Je ni agizo toka NEC kwa wasimamizi kuwa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mtalalamika sana ila ndio hivyo CCM inatesa kwa zamu ,safari hii inaipa kisago Chadema mtapiga makele mengi sana ila karibu NEC watapigilia msumari wa mwisho, Je mtaweza kufanya maandamano nchi...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wana chadema, Tuwaombe Viongozi wote wa chadema wasome hii topic kuwa kwa majiji na halmashauri walizochukua wahakikishe wanafanya vizuri sana ili mwaka 2015 iwe sample kwa miji mingine pia kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Je? Hivi sheria zetu zinaruhusu AMRI ya mahakama kusitisha shughuli za NEC kwa manufaa ya usalama wa raia pindi ikipoke malalamiko halali? Naamini tuna kila aina ya ushahidi kuthibitisha Tume ina...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimesikia Clouds fm sasahivi kwamba Mahanga na Mwakiposa wa CCM wameshinda katika majimbo ya Segerea na Ukonga respectively,mliokuwa Arnatouglo tupeni data kamili!
0 Reactions
13 Replies
2K Views
If I am wrong someone to criticize me please. Naona kama jana ndo ilikuwa mwisho wa kutangaza ushindi kwa majimbo ambayo yamechukuliwa na wapinzani. Je ni agizo toka NEC kwa wasimamizi kuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Update: Yaliojiri Jana-Risasi za Moto na Mabomu ya Machozi « Zitto na Demokrasia
0 Reactions
1 Replies
2K Views
SPIKA wa Bunge lililomaliza muda wake, Samuel Sitta, amesema Bunge lijalo litakuwa tishio na anatamani kuwa spika wake. Sitta alitoa kauli hiyo jana muda mfupi baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nilikuwa nje kidogo ya kijiji kwa hiyo kwa muda sikuwa na taarifa za nini kinaendelea. Baada ya majaribio ya karibu siku tatu hatimaye kura zimetosha kwa CCM. Regia aliweka wakala kwenye kila...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hadi sasa nawasifu kwa kuwa waangalifu kutoa matamko juu ya mwenendo mzima wa uchaguzi, najua hadi sasa mambo yanakwenda kama mlivyopanga na naomba muendelee kutuliza akili. Kama mtakuwa careful...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Hivi wadau haiwezekani kumshawishi yule aliyeshinda jimbo la Dr.Slaa ajiuzulu baada ya kuapishwa ili uchaguzi urudiwe Slaa agombee arudi mjengoni? Sheria inasemaje kwenye hili? Itakuwa pengo kubwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waangalizi Madola: Uchaguzi haukuwa na uwanja sawa (Source: :: IPPMEDIA) WAANGALIZI WA UCHAGUZI KUTOKA EU, AU NA ICGLR WASEMA UCHAGUZI ULIKUWA HURU NA HAKI, UTULIVU NA AMANI (Source: MICHUZI)...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MATOKEO YAMETANGAZWA MTEKETA KASHINDA CCM 40000+ CHADEMA 35000+:sad:
0 Reactions
51 Replies
8K Views
Napenda kuwajulisha kuwa kizazi kipya kimeamka kinataka mabadiliko. Anzia kwenye kura za maoni za CCM vijana ndio waliowabwaga vikongwe, Ukija sasa kwenye uchaguzi wenyewe wote mmshuhudia vijana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ccm 43159 na chadema 38550 as broadcasted at 20:42hrs it wameomba radhi kwa mkanganyiko
0 Reactions
0 Replies
871 Views
Taarifa zisizo rasmi zinasema JK alikuja Mza kujalibu ku'rescue' situation, na moja ya mbinu mbovu iliyotumiwa baada ya zote kugonga mwamba ilikuwa akubali kupokea kiasi hicho ili JK atimize azma...
0 Reactions
63 Replies
10K Views
Wednesday, 03 November 2010 05:18 Na Mwananchi MGOMBEA urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema), Dk Willibrod Slaa amesema, atayakataa matokeo ya urais...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom