Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Habari JF wote! Nina issue inanisumbua sana. Nayo ni kuhusu uchafu uliokithiri katika miji yetu ya kibongo. Katika hili nisingependa mtu alaumu. Kama ni makosa yalifanyika na kila mtu anajua...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ninaogopa.... Ninajiogopa mimi mwenyewe, ninauogopa ugonjwa nilionao.- Kwani itatokea lini, itatokea lini? Kifo cha taratibu, au labda cha haraka na bila maumivu? Watu... Wale wasionionyesha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna kitu gani kinaendelea tanzania institute of accountancy,kwani kuna nafasi ya principal wa chuo ilitangazwa tangu mwaka wa jana, nashangaa imerudiwa tena, inamaana tanzania hakuna watu wenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wadau Hivi karibuni kama wiki mbili kumetokea kukatika kwa umeme kila siku jioni mida ya saa moja usiku na kurudi kuanzia saa saba usiku hadi saa tisa usiku. Tatizo hili limejitokeza kwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wamo Nzowa na Mkumbo ambao siku za karibuni walitajwa na Mengi kutaka kumbambikia mwanae madawa ya kulevya... karibuni... MKUU wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali (IGP), Said Mwema...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Broody again at 72: She became the world's oldest mother at 66. Now her little girl's five - and she wants ANOTHER Last updated at 2:05 PM on 14th November 2010 Charming though they look...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Monday, November 15, 2010 2:05 AM Kwa mara ya kwanza katika historia ya udaktari duniani, daktari mmoja nchini India ameweza kuzizuia hisia zake kwa kuitumbua na kuvichanganua viungo vya maiti ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Katika kile kinachosadikika ni mambo ya mapenzi, mchina mmoja amemua kijana mwenye umri kai ya miaka 19 - 30 jioni ya leo hapa chunya
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Chama cha mafisadi kimemchagua mheshimiwa Jobb Ndugai kugombea unaibu spika kwa ticket ya chama hicho baada ya kumpitisha kwa kura 197 kati ya kura 198 na kura 1 iliharibika. Waliokuwa wanagombea...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Anawashka sana je anaweza kuchukua kitita?kama humjui ni yule mzungu eebwana anabamba
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kweli hali ni tete, yaani nashindwa kuelewa hii dunia inaenda vipi, Hivi wadau hili suala la hawa "FREEMASONS" mnalichukuliaje?? Can they dominate the whole world????!!!!!
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ghana
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Na Richard Bukos Ndoa iliyokuwa ifungwe kati ya Bwanaharusi, Joseph Kibarabara na mkewe mtarajiwa, Warda Halfa, imetibuka kufuatia Bibiharusi huyo ‘kutekwa’ na kufungiwa chumbani na mwanaume...
0 Reactions
21 Replies
10K Views
Arguing, as I define, is presenting arguments to support your case. Now I know here at JF we argue a lot and as you can see, we use logic every time. For example when you tell somebody "you are...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeipata hii sasa hivi. Ni breaking news! Imethibitika kwamba mojawapo ya magari yaliyokuwa kwenye msafara wa Rais, akielekea nyumbani kwake Bagamoyo kwa mapumziko mafupi, imepata pancha eneo la...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Serikali ya Nigeria imetishia kuishtaki Iran kwenye umoja wa mataifa endapo haitatoa maelezo ya kina juu ya makontena 13 yenye silaha yaliyokamatwa mjini Lagos juzi yakiwa yametokea Iran kuelekea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni makala uliyoiandika mwaka 2005 kuelekea uchaguzi. Ilizungumzia Sheria na Taratibu mbovu katika kusimamia taratibu za kupatika wagombea na matumizi ya fedha zisizo na kikomo wala maelezo...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Uchaguzi umepita sasa utendaji na uozo wa miaka nenda rudi umeanza kuonekana.Ukweli ni kuwa kabla ya uchaguzi mgao wa maji na umeme ulikuepo!tuulize ubungo kibangu lini walipata maji?8% ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakubwa naomba msaada kidogo. Yani kila ninapofungua subforum ya mambo ya kikubwa inagona na kuniambia i have no permission. Anyone who knows how i can solve it please help me.
0 Reactions
10 Replies
4K Views
TUJADIRI HIZI NI BAADHI YA HASARA ZAKE 1.) VURUGU 2.) UTUMIAJI MBOVU WA FEDHA 3.) UZINIFU 4.) AJILI 5.) INAKUTENGA NA MUNGU 6.) MAGONJWA eg Kama ya figo na mapafu pia moyo 7.) HUARIBU UTU 9.)...
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Back
Top Bottom