Kuna kitu gani kinaendelea tanzania institute of accountancy,kwani kuna nafasi ya principal wa chuo ilitangazwa tangu mwaka wa jana, nashangaa imerudiwa tena, inamaana tanzania hakuna watu wenye sifa zinazohitajika kushika hiyo post,kwani tunasikia kuna mmoja wa malecturer anasoma phd kwa nguvu zote ili achukue yeye hiyo nafasi,
ndio maana wanairusha mbele ufisaaadi
ndio maana wanairusha mbele ufisaaadi