BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Uchaguzi umepita sasa utendaji na uozo wa miaka nenda rudi umeanza kuonekana.Ukweli ni kuwa kabla ya uchaguzi mgao wa maji na umeme ulikuepo!tuulize ubungo kibangu lini walipata maji?8% ya watanzania ndio wenye umeme.
WANAPOTANGAZA MGAO WANA MAANA GANI?
WANAPOTANGAZA MGAO WANA MAANA GANI?