Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

DC wa zamani hoi kitandani Send to a friend Monday, 08 November 2010 01:13 0diggsdigg Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbalali, Mkoani Iringa Hawa Ngurume, akizungumza na waandishi wa habari wa...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Kama kawaida yangu leo nimeendelea na mihangaiko yangu ya kila siku lakini ilipofika jioni nikapata taarifa ya uhakika kwamba bei ya petrol kasulu sasa ni shilingi 6000 kwa lita lakini ya diesel...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimepitia rundo la ahadi za JK lakini nilishtushwa kujifunza ya kuwa wastaafu wa EAC hawamo kwenye mipango ya CCM ya kuwalipa haki zao za kimsingi za takribani miaka 33 hivi........... Leo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wana jamii forum, kuna sheria inayokataza kulima mazao sehemu za mijini mazao marefu kama mahindi. Sheria hiyo hutekelezwa na baadhi ya wakurugenzi wa miji michache hapa inchini, Iringa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Great thinkers, nimekuwa najiuliza kwa muda mrefu bila kupata jibu. Hivi ni kwanini wakati mwingine magari ya wagonjwa yanabeba maiti. Naomba nitofautishe kuwa kama mgonjwa amefia kwenye gari hilo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wajameni, ktk pitapita yangu ktkt ya vijana wa chuo kikuu nimenusa debate juu ya mbunge mteule wa jimbo la bumbuli, waziri mtarajiwa na mgombea uraisi mtarajiwa (2015 elections) vs facebook...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Naamini watendaji wako Mh. Rais Kikwete wanasoma taarifa mbalimbali kupitia jukwaa hili hivyo watakupa salaam zangu. Ninaandika haya kama raia wa Tanzania mwenye nia njema na maendeleo na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni mzee wa miaka 84 wa Kenya anaeingia darasa la 8 kusomea sheria. Big up babuuuuuuuuuuuu!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naomba kufaamishwa kisheria hii imekaaje,mara nyingi sana hapa lugalo ukipita asubuhi una kuta wanajeshi wakiwakamata waendesha pikipiki na bajaj kwa makosa aitha kwa kutokuvaa helmet au...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Monday, 08 November 2010 21:28 Silvan Kiwale IMEBAINIKA kuwa zaidi ya sindano milioni 20 walizotumika kuwachomwa wagonjwa katika nchi za Afrika, zilikuwa na virusi vya Ukimwi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
nimesikia tetesi ya kwamba kuna noti ya elfu tano, can anyone proove this?
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Nakumbuka niliwahi kuazima suruali ya jirani yangu dingriz nikamwambia naenda town siku tuliyo ahidiana sikutokea nikiwa bado naosha na raba za bora nimezipaka chaki zimekuwa nyeupeeee nashati la...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Reviews: Corruption in Kenya: How to ruin a country | The Economist Review: It's Our Turn to Eat by Michela Wrong | Books | The Guardian Compare majirani zetu before and after...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Alichokifanya Maalim Seif Sharif siku ya J,tatu1/11/2010 ni nusu ya kupigania jihadi ya nchi yake. Papatu papatu zilizokuwa zikiendelea na maneno makali yakutupiana na kutishana ndani ya...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Dr. Slaa nakupongeza sana kwa kuleta mabadiliko makubwa katika demokrasia ya nchi yetu. Umewafanya watawala wapige magoti kwa wananchi kuomba kura maana walijua wazi kuchakachua pekee kusingetosha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tanzania Daima ya leo imeripoti polisi wamemvamia mgombea wa Chadema nyumbani kwake na kumwibia shilingi milioni kumi..................................soma habari leo kwa taarifa za...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kuna jambo moja ambalo watu wengi hulichukulia mzaha, masihara au utani wakati wa kutafuta mwenzi wa maisha (mke au mume) nalo ni suala la mtoto wa kwanza kuzaliwa na mtoto wa mwisho kuzaliwa...
0 Reactions
15 Replies
8K Views
Hongera Kikwete kwa kutangazwa kuwa mshindi....Duh hapa Prof Lipumba kaniacha hoi, yaani hongera kwa kutangazwa na sio kushinda!!!!!!!Kweli Prof Yuko makini mno. Nchi inaongozwa na aliyetangazwa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Daktari abaka mtoto wa ofisa usalama na Christopher Nyenyembe, Mbeya DAKTARI wa Hospitali ya Mkoa wa Mbeya, Haruna Nyagoli, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa, kwa kosa la kumbaka...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Nakumbuka katika mchakato wa kuelimika, kwenye topic ya Organization Design, Dkt. Ngirwa alieleza kwa ufasaha sana kuhusu umuhimu wa kuunda muundo wa taasisi ambao unauwezo wa kujiendesha wenyewe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom