DC wa zamani hoi kitandani Send to a friend Monday, 08 November 2010 01:13 0diggsdigg
Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbalali, Mkoani Iringa Hawa Ngurume, akizungumza na waandishi wa habari wa...
Kama kawaida yangu leo nimeendelea na mihangaiko yangu ya kila siku lakini ilipofika jioni nikapata taarifa ya uhakika kwamba bei ya petrol kasulu sasa ni shilingi 6000 kwa lita lakini ya diesel...
Nimepitia rundo la ahadi za JK lakini nilishtushwa kujifunza ya kuwa wastaafu wa EAC hawamo kwenye mipango ya CCM ya kuwalipa haki zao za kimsingi za takribani miaka 33 hivi...........
Leo...
Ndugu wana jamii forum, kuna sheria inayokataza kulima mazao sehemu za mijini mazao marefu kama mahindi. Sheria hiyo hutekelezwa na baadhi ya wakurugenzi wa miji michache hapa inchini, Iringa...
Great thinkers, nimekuwa najiuliza kwa muda mrefu bila kupata jibu. Hivi ni kwanini wakati mwingine magari ya wagonjwa yanabeba maiti. Naomba nitofautishe kuwa kama mgonjwa amefia kwenye gari hilo...
Wajameni, ktk pitapita yangu ktkt ya vijana wa chuo kikuu nimenusa debate juu ya mbunge mteule wa jimbo la bumbuli, waziri mtarajiwa na mgombea uraisi mtarajiwa (2015 elections) vs facebook...
Naamini watendaji wako Mh. Rais Kikwete wanasoma taarifa mbalimbali kupitia jukwaa hili hivyo watakupa salaam zangu. Ninaandika haya kama raia wa Tanzania mwenye nia njema na maendeleo na...
Wadau naomba kufaamishwa kisheria hii imekaaje,mara nyingi sana hapa lugalo ukipita asubuhi una kuta wanajeshi wakiwakamata waendesha pikipiki na bajaj kwa makosa aitha kwa kutokuvaa helmet au...
Monday, 08 November 2010 21:28
Silvan Kiwale
IMEBAINIKA kuwa zaidi ya sindano milioni 20 walizotumika kuwachomwa wagonjwa katika nchi za Afrika, zilikuwa na virusi vya Ukimwi...
Nakumbuka niliwahi kuazima suruali ya jirani yangu dingriz nikamwambia naenda town siku tuliyo ahidiana sikutokea nikiwa bado naosha na raba za bora nimezipaka chaki zimekuwa nyeupeeee nashati la...
Reviews:
Corruption in Kenya: How to ruin a country | The Economist
Review: It's Our Turn to Eat by Michela Wrong | Books | The Guardian
Compare majirani zetu before and after...
Alichokifanya Maalim Seif Sharif siku ya J,tatu1/11/2010 ni nusu ya kupigania jihadi ya
nchi yake.
Papatu papatu zilizokuwa zikiendelea na maneno makali yakutupiana na kutishana ndani ya...
Dr. Slaa nakupongeza sana kwa kuleta mabadiliko makubwa katika demokrasia ya nchi yetu. Umewafanya watawala wapige magoti kwa wananchi kuomba kura maana walijua wazi kuchakachua pekee kusingetosha...
Tanzania Daima ya leo imeripoti polisi wamemvamia mgombea wa Chadema nyumbani kwake na kumwibia shilingi milioni kumi..................................soma habari leo kwa taarifa za...
Kuna jambo moja ambalo watu wengi hulichukulia mzaha, masihara au utani wakati wa kutafuta mwenzi wa maisha (mke au mume) nalo ni suala la mtoto wa kwanza kuzaliwa na mtoto wa mwisho kuzaliwa...
Hongera Kikwete kwa kutangazwa kuwa mshindi....Duh hapa Prof Lipumba kaniacha hoi, yaani hongera kwa kutangazwa na sio kushinda!!!!!!!Kweli Prof Yuko makini mno.
Nchi inaongozwa na aliyetangazwa...
Daktari abaka mtoto wa ofisa usalama
na Christopher Nyenyembe, Mbeya
DAKTARI wa Hospitali ya Mkoa wa Mbeya, Haruna Nyagoli, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa, kwa kosa la kumbaka...
Nakumbuka katika mchakato wa kuelimika, kwenye topic ya Organization Design, Dkt. Ngirwa alieleza kwa ufasaha sana kuhusu umuhimu wa kuunda muundo wa taasisi ambao unauwezo wa kujiendesha wenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.