Wanajamii nimekutana asubuhi hii pale ubungo Bus terminal na kijana aliye chaguliwa kuanza masomo pale IFM Kozi ya Banking and Finance. Amenyimwa mkopo na loan board hata wa asilimia 0. Tuition...
It is not my aim to diverge you from current political issues burning but I want us to think of other important issues at hand. It is no secret that much of our leaders have no interest in...
Kwa nini pccb wanamsafisha chenge wakati sfo bado hata awaja aanza case courtini huko uk... I think they should stop acting on the orders of the top commanders when doing their work and stick to...
Ungeliwategemea CC ya CCM kuwa imejifunza kutokana kujiingiza katika kudumaza demokrasia hapa nchini pale ambapo waliwachagulia waliotoa maoni ndani ya CCM wale wagombea ambao hawauziki na...
Gazeti la "Habari Leo" la leo limetuhabarisha ya kuwa mitihani ya kidato cha pili imeibwa....................Hili sakata za kuvuja kwa mitihani Baraza la Mitihani sasa limekuwa ni ngonjera ambayo...
Huyu mheshimiwa magufuli jamani anastaili kupewa wizara nyeti maana sasa anakuja na vituko eti sheria ya kunyanyasa wanyama kwa bongo ityawzekana kweli msikilize kwenye hii audio clip...
Woman puts red-hot knife in girl's genitals
From MARC NKWAME in Arusha, 10th November 2010
ARUSHA is increasingly becoming home to bizarre incidents as evidenced, this time, by a blood...
Tangu kuwepo kwangu kwenye hii Forums nimekuwa nikiona hoja mbalimbali!!ila nimeona Jukwaa lenye umaarufu nijukwaa la Mahusiano, mapenzi, urafiki Ukitoa kipindi cha uchaguzi! anayepingana na mimi...
Baada ya kutangazwa kwa matokeo ya urais, Prof. Lipumba kwaniaba ya wagombea wenzake alipewa fursa ya kutoa neno; katika nasaha zake, alianza kwa kumpongeza JK kwa kutangazwa kuwa mshindi na...
Mzee mmoja mwenye umri wa miaka 60 amedondoka leo kwenye jengo la Redcross lililopo mkabala na barabara ya Ali Hassan Mwinyi na kufa hapo hapo. Mzee huyu mwenye asili ya kiasia kwa mujibu wa...
Katika pitapita zangu nimekutana na hii kitu Welcome to the official global voting platform of New7Wonders | New7Wonders si vibaya na sisi watz tukashiriki kupaisha vitu...
Kutoka ndani ya CCM kuna habari kuwa viongozi fulani wazito wamejiandaa wakishirikiana na JK kuhakikisha kuwa dola inarudi kwa 'network members'. Hii ni kwa ajili ya kujiandaa na ushindi wa...
Kama kawaida yangu leo nimeendelea na mihangaiko yangu ya kila siku lakini ilipofika jioni nikapata taarifa ya uhakika kwamba bei ya petrol kasulu sasa ni shilingi 6000 kwa lita lakini ya diesel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.