Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Jamani mi nina mdogo wangu anataka kwenda chuo cha CBM(COLLAGE OF BUSSINES AND MANAGEMENT).kipo dar es salaam.naomba mnisaidie kupata namba pamoja na website yao kwa wanaoijua plz
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Closed
Jamani nimeota dk silaa kachaguliwa baraza la mawaziri sijui lipi lakini akiwa anafuraha kabisa embu wananyota na ndoto tupen maana ya ndoto hii
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Anne Semamba Makinda Baada ya jina la Waziri Mkuu kusomwa na Spika, Mwanasheria Mkuu wa serikali alipewa nafasi ya kutoa hoja au kuongea; Mheshimiwa Tundu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
• Rushwa ya barabarani ni wastani wa milioni 900 kwa mwaka • Pesa hii inaweza kusomesha watoto 4,500, kununua mifuko 13,000 ya mbolea, na mabati ya nyumba 2,500. Rushwa imekithiri sana katika...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Closed
Ndio yawezekana kabisa kuingiza zaidi ya kiasi hicho kwa mwezi, Je ungependa kujua ni jinsi gani hilo lawezekana? Ikiwa wataka kujua click hapa, Karibu sana.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wengi mtakubaliana nami kuwa kwa sasa sio humu JF peke yake hata maofisini, nyumbani, vyuoni n.k. tumekuwa na ushabiki mwingi wa kisiasa na kutambiana kuwa chama flani kimeshinda bila kuangalia...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani tunatakiwa tutambue hivi, CCM ni wajanja, na wanajua kabisa kuna watu ambao wakikamata akili zao na maisha yao, itawapa kufanikiwa ktk kuendelea kumtawala Tanzania. Tutazame mambo haya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana JF Salaam Siku ya Jumapili usiku nilipita jirani na uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha,na nilikuta kundi la wanaoitwa watoto wa mitaani au wanaoishi kwenye mazingira magumu wapatao 18...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Scientists warn of sterility after testing temperatures of nether regions Source: Reuters Whoever invented the 'laptop' probably didn't worry too much about male reproductive health. Turns...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nawezaje kujiunga na jeshi?msaada
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ivi inakuaje spidi ya gari mfano starlet ikiwa kwenye 100km/h inapitwa na basi kubwa ambalo lipo 80km/h. Kama ishu ni gear box revolution,,sasa speed ipi ndo correct?
0 Reactions
45 Replies
8K Views
Leo nimesikia redioni (clouds)kipindi cha magazeti kuwa malimu self amekabidhiwa ofisi na kazi zake zitakuwa 1.kuhangaikia ukimwi, 2.walemavu 3.mazingira 4. Mihadarati hii yanne nimeiona ni...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Gazeti la Nipashe linaripoti ya kuwa kesi ya Basili Pesambili Mramba na wenzake itaendelea kusikilizwa leo hii.......................Hii ni kesi ya kutoa zabuni kwa kampuni ya kuhakiki dhahabu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana forum msaada hapa jamani,niliagiza vigari vyangu huko japan baada ya kudunduliza vihela kwa muda mrefu sana.sasa ishu inakuja hapa,gari zimeingia tangu kama wiki imepita sasa ila clearing...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Mods, Sijui nini hasa dhumuni lenu lakini kuiunganisha thread yangu na nyingine sidhani kama mmenitendea haki yangu ya msingi. Nimemuuliza mhe swali ni matarijio yangu ingekuwa rahisi yeye kuona...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wajameni wanaJF, kweli hii inasikitisha, rafiki yangu amemaliza course work yake kama kawaida na kusoft bind thesis yake mapemaaaa miaka miwili iliyopita, tatizo limekuja pale kazi haikupelekwe...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, Miaka 6 nimefuatilia hati ya kiwanja changu wizarani bila mafanikio,nimetumia pesa nyingi,kipo Iringa
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salaam wana JF, Nataka kujua juu ya kampuni hii ya simu; Iliingia nchini kama Celtel, mwaka 2008 ikabadilika na kuwa zain nayo inasemekana baada ya kuuzwa, sasa hivi imebdilika na kuwa airtel...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Closed
Moderator na wana JF Kulikuwa na thread kuhusu usalama wa taifa.... iko wapi? Kuna news motomoto za kuweka! Please.... urgent... naomba link yake. Nimejaribu kuitafuta bila mafanikio!
0 Reactions
3 Replies
3K Views
  • Closed
Wana JF naomba kuuliza hivi Majimbo yanayochagua wabunge ambao ni Wahindi au Waarabu kama Singida mjini,Igunga au Ilala huwa hakuna Watanganyika wenye sifa za kugombea au huwa inakuwaje? Naomba...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom