FADHILIEJ
Senior Member
- Nov 5, 2010
- 132
- 18
Wana JF Salaam
Siku ya Jumapili usiku nilipita jirani na uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha,na nilikuta kundi la wanaoitwa watoto wa mitaani au wanaoishi kwenye mazingira magumu wapatao 18 au 22 hivi,vijana hao walikuwa wa kati ya umri wa miaka 12 hadi 18 kwa kukisia,ng'ambo ya barabara alikuwepo mamalishe na alikuwa akiitisha change za noti mbalimbali toka kwa watoto hao nadhani ni wateja wake,
any way nikatize hiyo stori,
ninachotaka tujadili ni hili wimbi la hawa watoto linavyoendelea kukua na vyombo vya serekali na wananchi tukiliangalia kama jambo la kawaida mwisho wake ni nin?
NINACHOULIZA
TUFANYA NINI!!!!1
NAOMBA KUTOA HOJA!!!
Siku ya Jumapili usiku nilipita jirani na uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha,na nilikuta kundi la wanaoitwa watoto wa mitaani au wanaoishi kwenye mazingira magumu wapatao 18 au 22 hivi,vijana hao walikuwa wa kati ya umri wa miaka 12 hadi 18 kwa kukisia,ng'ambo ya barabara alikuwepo mamalishe na alikuwa akiitisha change za noti mbalimbali toka kwa watoto hao nadhani ni wateja wake,
any way nikatize hiyo stori,
ninachotaka tujadili ni hili wimbi la hawa watoto linavyoendelea kukua na vyombo vya serekali na wananchi tukiliangalia kama jambo la kawaida mwisho wake ni nin?
NINACHOULIZA
- HIVI HAIWEZEKANI KUTOKOMEZA TATITO HILI?
- VITUO VINAVYOENDESHWA VINAANIA YA KUTATUA TATIZO AU NI MIRADI?
- KUNA SERA YEYOTE KITAIFA JUU YA KUMALIZA TATIZO HILI?
TUFANYA NINI!!!!1
NAOMBA KUTOA HOJA!!!