Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Real inanipa wakati mgumu kuona wamama wajawazito wanakufa ktk hosp kubwa wakati wakujifungua.sijui wenzangu mnalo la kuchangia ili kupunguza hili tatizo?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ZAMANI TULIKUWA TUNA WAANDISHI MAHIRI WA VITABU VYA KUSISIMUA. WALIKUWEPO KINA BEN R MTOBWA, MSIBA, NA WENGINE WENGI. KWA MARA YA MWISHO KUSOMA KITABU CHENYE KUSISIMUA ILIKUWA MIAKA MITATU NYUMA...
1 Reactions
20 Replies
9K Views
Hivi karibuni miongoni mwa dada zetu imezuka tabia ya akinadada wengi kuvaa nguo ambazo zinaonesha sehemu kubwa ya matiti yao, ikibaki kuwa wazi. Takriban asilimia 60 hubaki kuwa wazi, na wengi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za weekend wanajamii. Mimi nina mdogo wangu amegraduate mwaka huu. Degree yake ni ya Business Administaration in accounting. Naomba msaada wa kujua at least website zinazotangaza kazi...
0 Reactions
0 Replies
874 Views
Jamani kwa wale mnaotaka viwanja kwa bei rahisi msisite kunipigia simu hapa 0786 046484. Viwanja vinapatikana eneo la vikawe mbele ya bunju maeneo ya tegeta.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
China builds 15-story hotel in 6 days A soundproofed, thermal-insulated building is constructed in a remarkable feat of speed. See time-lapse video Source: Chinese workers build...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hellow guys! natafuta mke wa kuoa... naona muda wangu umefika... ' sifa Awe mweupe soft color au black beauty. Asiwe anakunywa pombe, wala kuvuta sigara aswe changudoa, Awe amemaliza form four na...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Nimejitahidi ku-google habari zaidi kuhusu gharama za ku"publish" jarida au gazeti nchini mwetu lakini sikufanikiwa. Kama kuna yeyote anayejua kuhusiana na gharama hizi tafadhali naomba anijuze na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamii forum ni sehemu mzuri ya kujua uelewa wa watanzania wengi, jaribu kupitia hoja mbalimbali na uangalie comment za watu. Hii sehemu kila mtu anahaki ya kutoa mawazo yake lakini mawazo yetu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa watanzania wengi madaraka yamekuwa ulevi, mtu akipata madaraka basi kazi yake ni kujiona yuko juuuuuuuu juuuuuuuuu kabisaaa kuliko wengine matokeo yake ni kuwanyanyasa wengine, mfano ni pale...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ni week end ya pekee kwa kinamama wa Tanzania baada ya Mh. Anna Makinda kuchaguliwa kuongoza Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mara ya kwanza. Ni week end ambayo haitakaa ifutike katika...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau nimejaribu kufuatilia ofa ya Vodacom ya cheka time nikagundua hawa jamaa wanafanya uhuni. Kwa mfano ukinunua muda wa cheka time wa shs 400 unatakiwa upate dk 10 za maongezi na SMS 15 lakini...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Fuata link hii Signs of Satan!
0 Reactions
13 Replies
11K Views
Sandhurst-trained Afghanistan veteran Captain Robert Sugden, 29(TANZANIAN), was last night at the centre of a probe by horrified MoD chiefs after the staggering security breach put lives in...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Great Thinker naombeni kama kuna yoyote ambaye anafahamu kama kuna tafsiri ya Kiswahili ya vitabu vya Johann Wolfgang von Goethe na Friedrich Schiller. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Bibi Pearl akiwa na mpenzi wake ambaye pia ni mjukuu wake Bibi mwenye umri wa miaka 72 wa nchini Marekani amewashangaza marafiki zake na familia yake baada ya...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Baada ya shughuli za uchaguzi mkuu kwisha, inaonekana wafanyabiashara maeneo ya soko kuu Arusha wameamua kufanyia biashara zao katikati ya barabara kiasi kwamba inakuwa vigumu kupita na gari...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Mahujaji watapeliwa, wasota uwanja wa ndege Dar Send to a friend Thursday, 11 November 2010 20:36 0diggsdigg Pilly Hashim MAHUJAJI 20 waliokuwa wasafiri kwa ndege ya Shirika la Eggypt na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna mtu ana clues za hawa wakulu? wapo hapa nchini tangu 2005 wamemilikishwa oil block kule Tanga. bado wapo au kunani pale Tanga???
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom