Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Habari wana JF. Nakuja tena na maada nyingine ambayo yaweza onekana ni ya kawaida sana lakini kwa great thinker hili suala lina impact kubwa sana katika maendeleo ya taifa letu. Africa tumekuwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF najua wengi mnaweza kushangazwa na topic hii, lakini sina lengo la kukufuru hapa bali tujadili kama great thinkers. Nimeangalia na kutathmini maisha yetu ya kila siku. Jiulize kuhusu...
0 Reactions
77 Replies
7K Views
Gazeti la Habari Leo linatuhabarisha ya kuwa ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa serikali haina meno ikilinganishwa na ofisi nyinginezo Afrika za hadhi yake...................
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Source: Yahoo friends Friends, This is relevant to all of us... Enjoy One young academically excellent person went to apply for a managerial position in a big company. He passed the first...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeskia kuwa regina mwalekwa amesepa redio one na kwenda kule kwa yale majike yasiyojua kiswahili fasaha i mean kibonde, gadna etc!! Tena jana nikaona katumi ikimwonesha jamaa aitwae miladi...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Jamani naomba kujua huyu nakaya sumari Bongo fleva,mwanasiasa yu wapi?
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Sasa uchaguzi umekwisha tunakwenda na mwendo wa utajiju stili ambapo 1. Mgao wa umumu kama kawa 2. Mgao wa maji kama kawa 3. Majembe bararabarani kama kawa 4. Sticker za fire kama zamani 5...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu. Kutokana na desturi zetu, kujamba au kutoa hewa ile chafu mbele za watu si vizuri na mara nyingi wazee wamefikia hadi kusingizia wajukuu au watoto kuwa ndoo wamechafua hewa kumbe ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
[ Ali kiba na JK
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Eti kuita akina mama beijing inahashiria kuna umoja wa kujadili maslahi ya kina mama,sasa je kina baba wao wanitwaje .....au wao hawana maslahi,au labda tujiite hongkong.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ndugu wanajamii huku kijijini napata shida kweli....jana jirani yangu mama preta kaja, juzi alikuja mama alfani ananiuliza kama bado nawasiliana na mwanae aliepo mjini?nikamjibu mama siku hizi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Gazeti la majira limetupasha ya kuwa ile kesi ya ufisadi wa rada yetu ya kijeshi kuanza kunguruma kwa mara ya kwanza uingereza kesho...................
0 Reactions
12 Replies
2K Views
WATU watatu wamepoteza maisha katika matukio tofauti jijini Dar es salaam, mmoja akikandamizwa na mlango wa kivuko akiwa ndani ya gari. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, David Misime, alisema...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
FIKIRIA uko hapo tuseme Manzese basi. Unapita njia yako unasaka shilingi ambayo inaendelea kuota matairi na mbawa. Mara ghafla unamwona kijana naye anapita akiwa na mbwa, lakini kamfunga kamba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajamii, mimi nilisoma na Premmy Kibanga pale Institute of Journalism and Mass Communications mwaka 2000 yeye akiwa anachukuwa post graduate in Journalism... Huyu dada hivi sasa ni mwandishi wa...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Nimenunua modem ya zain airport leo hii na kuambiwa kuwa nimepewa 8GB kwa mwezi mzima. Mpaka sasa inakataa, inaleta error code wakati wa kudial. Nimepiga zain call centre toka saa kumi na nusu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kiongozi wangu bebeku uko wapi????? Umehama jamvi hili???hebu ni pm bana tuzungumze yale mambo yetu ya kona bar
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kama kuna mtu anajua mafundi wanaoweka funiture kwa jumla na kwa beinzuri naomba contact.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Meneja mkuu, mhasibu, mtunza store wote wakiwa waajiriwa Wa vodacom mkoani kilimanjaro head ofice wamekula njama na kuondoka na kitita kikubwa cha pesa. Ofisi ya vodacom mkani humo iliyopo karibu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau naomba kujua kama mtajwa hapo juu anaishi na baba yake hapo Ikulu. Je kama anaishi hapo ni sawa? Naomba kuwasilisha
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Back
Top Bottom