Mporipori
Member
- Nov 22, 2010
- 44
- 0
Salaam wana JF,
Nataka kujua juu ya kampuni hii ya simu;
Iliingia nchini kama Celtel, mwaka 2008 ikabadilika na kuwa zain nayo inasemekana baada ya kuuzwa, sasa hivi imebdilika na kuwa airtel baada ya kuuzwa tena kwa Bharti group ya huko india...
Kubadilika badilika huku kunamaanisha nini..? Mchango wenu wajumbe
Nataka kujua juu ya kampuni hii ya simu;
Iliingia nchini kama Celtel, mwaka 2008 ikabadilika na kuwa zain nayo inasemekana baada ya kuuzwa, sasa hivi imebdilika na kuwa airtel baada ya kuuzwa tena kwa Bharti group ya huko india...
Kubadilika badilika huku kunamaanisha nini..? Mchango wenu wajumbe