Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 5,489
- 8,626
Mnanenepeana ka kujaza matumbo yenu, ukifika wakati wa kusema mliyoyafanya kwa kipndi chote cha miaka mitano mnakuja na hoja dhaifu mara uonevu, mara udikteta, mara mmeibiwa sijui mmedhulumiwa, kifupi upinzani hakuna lamaana mlilofanya mnaloweza kuwaonyesha wapigakura wenu ndio maana mnaogopa uchaguzihela ya tuisheni inajenga flaiova ya madongokuruka. usiaibishe taaluma adhimu ya ualimu kwa kujiita mwalimu. chama hakisajiliwi bila sera mezani. waliolipa kodi kwetu wataambiwa kodi yao imetumikaje. hela za ruzuku hazijengi madaraja wala zahanati mwalimu pasipo elimu!