koncho77
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 7,790
- 10,374
Halafu na wewe rudisha ID yako ya mwanzo kama 1xbet walivyorudisha mobile payment1xbet imerudi watu nao wameanza kutoa ushauri kwenye pesa za watu ambazo wenyewe wameona wazitumie kwenye matumizi hayo.
Kama kampuni za kitanzania mnataka kuwa bora kwanini ubabaishaji uwe sehemu ya biashara yenu? Nani asiyependa sehemu nzuri, nani hapendi kubet masoko zaidi ya 800 nani anataka kuona upuuzi wa Mbet na Betpawa?
UKIONA MTU ANAENDA 1XBET UJUE ANAENDA KWA PESA YAKE WALA SIYO PESA YA FAMILIA YAKO AU BABA YAKO.
Nawe unabaki kampuni uliyoichagua kwa pesa zako mwenyewe.
Nilikuwa naipenda