if cap fits
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 1,381
- 1,873
Hela ya kubet hata kuifanyia biashara ni ngumu sana, mana betting haitofautiani na mtu aliye machimboni,anaweza ktumia mda wake mwingi kuitafuta hela. Siku akiipata hela anasahau shida kabsa, anamaliza pesa zote mwisho wa siku unamkuta shimoni tena, na mtu anae beti alishazoea kupoteza si kama mfanya biasara anaekusanya hela kwa vipimo vya vi baba vya mafuta.pia kamari ni tabia, kuna mtu hawezi kulala bila mkeka,
Tena wapo wale wa jero jero kwenye mashine huko ndo balaa, ukiingi kwenye maofis ya betting utazani umeingia jehanam, joto kali ila watu wamo tu, hao bila mkeka kwa siku hapati usingizi, na wanabahati vibaya pamoja na matreni yao.
Tena wapo wale wa jero jero kwenye mashine huko ndo balaa, ukiingi kwenye maofis ya betting utazani umeingia jehanam, joto kali ila watu wamo tu, hao bila mkeka kwa siku hapati usingizi, na wanabahati vibaya pamoja na matreni yao.
Huu mchezo usivyo na adabu utakuta nusu ya hiyo hela inaishia tena kwenye kubet.