Franco Dsm
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 565
- 421
Kama hukumu ya Lulu ni November 6. Premier bet na Meridian bet watuletee kipengele chake. Lulu kufungwa odds 1.81 Lulu kuachwa huru odds 2.03. Wazee wa kazi atutaki utani.
Kama hukumu ya Lulu ni November 6. Premier bet na Meridian bet watuletee kipengele chake. Lulu kufungwa odds 1.81 Lulu kuachwa huru odds 2.03. Wazee wa kazi atutaki utani.
Mkuu jaribu kutotuharibia jukwaa tafadhari.vipigo vya kanji havijawahi kumuacha MTU salama mapovu ya nin??????
sasa si muwe mnaleta kabla?Mathomaso wasioamin
Ngoja mie nim-test. Japo nadhani huyo NEC NIJMEGEN anaweza kuuaKwa wenye Mipesa yao point mbili hizo
Paris Saint Germain Win
Benfica Win
Nec Nijmegen Win
Sydney Fc Win
inakusumbua nini mkuu mbona mimi natumia vizuri hapa, namba zao ni 0677262222Jamani princessbet ni kwangu tuu ina matatizo? Tokea asubuhi najaribu kufungua inagoma, mwenye no zao msaada please
Haifunguki, unatumia kwenye sim au laptop? Nmejaribu kote inagomainakusumbua nini mkuu mbona mimi natumia vizuri hapa, namba zao ni 0677262222
Mkuu umekwisha jisajili? kama umejisajili kwa namba ya mpesa basi kudeposit utalipia namba ya kampuni 262222 kisha kumbukumbu namba utaweka namba yako ya simu uliojisajilia.Msaada kudeposit Princes bet kupitia m pesa
Kabisaa kiongozi Princessbet wapo makini!!mkuu tumia princessBet nawaona wako vizuri kuliko mbet na mkeka
Tumia Browser ya Google chrome na hakikisha ipo updated itapiga mzigo freshHaifunguki, unatumia kwenye sim au laptop? Nmejaribu kote inagoma
Imeshakubali mkuu,, shukrani!Tumia Browser ya Google chrome na hakikisha ipo updated itapiga mzigo fresh
Au waweza tumia Lite version link hi ipo vizuri zaidi:
Princessbet.co.tz
Tayar nimejisajili kwa namba yangu ya mpesa nashukuru Sana kumbukumbu namba ni namba yangu sio thanx sanaMkuu umekwisha jisajili? kama umejisajili kwa namba ya mpesa basi kudeposit utalipia namba ya kampuni 262222 kisha kumbukumbu namba utaweka namba yako ya simu uliojisajilia.
Mwenye anataka kujiunga na hii safari ani PM kama yupo Dsm tukutane tupange n namna gani tunaweza kuanza kubet, kuchagua kampuni yenye odds nyingi na kuona namna ya kugawana matunda yetu. Ajira hamna sasa tutafanyaje? Wacha tujiajiriNataka nifungue campun yankuweka mzigo, natafuta vijana wanaojua kuanalyse ligi mbali mbali, tuanze kubeti kama kazi.
Note: mtaji nime weka 2 mill.
Tutakua tuna beti mechi sio zaidi ya moja kila mkeka