shebydough
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 731
- 524
kanji naona anacheka kihndi
KivipMkuu hii imeekaaje
Dah nawakumbuka hao Bolivar tena walipigwa na kibonde wa ligiaisee kama una hela mrudishie huyo Mzee asije akatutoka. Huu mchezo aliyesema bet responsibly or bet what u can afford to loose alikuwa genius. Stake kubwa kuwahi kuliwa ni 953,000 asikuambie mtu aisee unaweza ukadondoka ukafa watu wakasema umelogwa kumbe ni kipigo cha kanji. Sasa hivi nimerudi kwenye stake za kawaida nimeapa sitaweka dau zaidi ya laki moja.
Yaani kuna team sitakaa niziguseDah nawakumbuka hao Bolivar tena walipigwa na kibonde wa ligi
duuu mi niliwekaga laki moja tena single ikapigwa chap nilitetemeka hadi matako siku hyo daaaa huu mchezo acha kabisaaisee kama una hela mrudishie huyo Mzee asije akatutoka. Huu mchezo aliyesema bet responsibly or bet what u can afford to loose alikuwa genius. Stake kubwa kuwahi kuliwa ni 953,000 asikuambie mtu aisee unaweza ukadondoka ukafa watu wakasema umelogwa kumbe ni kipigo cha kanji. Sasa hivi nimerudi kwenye stake za kawaida nimeapa sitaweka dau zaidi ya laki moja.
Aiseeee Mimi mwenyewe mwili ulikuwa unavibrate hatareeeduuu mi niliwekaga laki moja tena single ikapigwa chap nilitetemeka hadi matako siku hyo daaaa huu mchezo acha kabisa
Mkuu hiyo ni app gani niipakue...kesho nimkalshe kanji.Wenye mtaji odd 5.5 away team to winView attachment 502814
Football maniaMkuu hiyo ni app gani niipakue...kesho nimkalshe kanji.
Hiyo hela yako labda kanji afanye uchawi wake. Jamaa hawana shot on goal hata mojaNamngoja Barca tu!
aisee kama una hela mrudishie huyo Mzee asije akatutoka. Huu mchezo aliyesema bet responsibly or bet what u can afford to loose alikuwa genius. Stake kubwa kuwahi kuliwa ni 953,000 asikuambie mtu aisee unaweza ukadondoka ukafa watu wakasema umelogwa kumbe ni kipigo cha kanji. Sasa hivi nimerudi kwenye stake za kawaida nimeapa sitaweka dau zaidi ya laki moja.
ulpata odds ngpNamngoja Barca tu!
Daah pesa ya Jana yote imerudi *****
Asante Dortmund na nilimuhofia mbwa huyu kapita na kamtaji chote
Odds 7
Mm nimeamua kupumzika kuanzia leo