demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,121
Pesa ya bure hiyo.
Naomba mungu Mchawi asitokezee hapo.......weekend isije kuwa mbaya zaidi..
Hahahha
Pesa ya bure hiyo.
Game ya nice na Dijon tuiangalie kwa jicho la pili
Leo sikubali lazima nimle iwe kwa hiari au kinguvunguvu
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Leo Tarehe 04-03-2017:
"Kama noma, na Iwe nona sikubali leo na-revenge mimi" au "Kama mbwali na Iwe mbwali".
"Kama Moyo wako unasukuma damu na si vingine basi usinifuate, Kama unauwezo wa kuvumilia maumivu ya Mapenzi basi unaweza kunifuata".
View attachment 476612
Kama pesa vile hii........
Leo Tarehe 04-03-2017:
"Kama noma, na Iwe nona sikubali leo na-revenge mimi" au "Kama mbwali na Iwe mbwali".
"Kama Moyo wako unasukuma damu na si vingine basi usinifuate, Kama unauwezo wa kuvumilia maumivu ya Mapenzi basi unaweza kunifuata".
View attachment 476612
Ameniboa kweli, kila nikifungua inagoma tu... Naogopa ata kudeposit helaPremier kazidiwa
Nice nafasi ya 3Game ya nice na Dijon tuiangalie kwa jicho la pili
Huyu Premier kashaanza kumuiga Brother ake MERIDIAN sasa
Leo wamesababisha niweke mikeka mitatu inayofanana (same bet )Huyu Premier kashaanza kumuiga Brother ake MERIDIAN sasa
liver vs arsenal GGSawa sawa had saa saba itakuwa tayar