keikiu
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 2,326
- 1,966
Dah! Pole mkuu, ila unakaribiaNa leo tena moja tu ndo imechana, BTS ni option yenye odds nyingi sana
Dah! Pole mkuu, ila unakaribiaNa leo tena moja tu ndo imechana, BTS ni option yenye odds nyingi sana
Shit! Dag and red ataharibu mkeka hivi hivi namuona.smh
Zimekaa vizuri hadi rahaNa leo tena moja tu ndo imechana, BTS ni option yenye odds nyingi sana
hapo. inatolewa utapewa ya 1.75 tuWakuu hii pesa wataniwekea au inakuwaje? Maana game ya Dortmund imekuwa postponedView attachment 475610
Ahsante mkuu, wanachukua muda gani mkuu mpaka kutoa hiyo pesa?hapo. inatolewa utapewa ya 1.75 tu
Hapa mkuu Buddy kama umeweka 200,000 asubuhi una 400,000 yako safi, ila hutakiwi kwenda haraka sana. Taratibu unafika ulipopakusudia.Wakuu hii pesa wataniwekea au inakuwaje? Maana game ya Dortmund imekuwa postponedView attachment 475610
meridian huwa papo hapo mkeka sa 6.Ahsante mkuu, wanachukua muda gani mkuu mpaka kutoa hiyo pesa?
nilienda ivo lakin nilichofanyiwa na daeg&red dah.Hapa mkuu Buddy kama umeweka 200,000 asubuhi una 400,000 yako safi, ila hutakiwi kwenda haraka sana. Taratibu unafika ulipopakusudia.
Usitegemee kutengeneza faida kubwa ya muda mfupi mkuu, andaa bajeti yako ya wiki nzima ya kubetia, kwa mfano nina stake ya wiki nzima, kwa kiwango sawa, jumatatu mpaka ijumaa bajeti yangu ni laki 1 inategemea na uwezo wako, kila siku nitabeti kwa elfu ishirini kwa kila siku sizidishi wala sipunguzi, jumamosi na jumapili bajeti yangu 50,000 haizidi wala haipungui haijalishi nina pesa kiasi gani, kwa mfano hiyo pesa iko pending lakini leo mpaka jumapili nina pesa yake, sibeti kwa tamaa, nabeti kwa tahadhari ili nilichokiweka kirudi na faida, jumapili nafunga hesabu.nilienda ivo lakin nilichofanyiwa na daeg&red dah.
Kuna kupoteza, ndani ya wiki unaweza kupoteza mara moja au mbili, lakini ukiwa unacheza kwa kanuni maalum faida utaiona mkuu, lakini ukicheza tu hivi hivi bila kanuni maalum leo unapoteza laki 5, kesho milioni, ukipata pesa yote unaitumbukiza tu kwenye betting ili upate faida kubwa, hapo ndipo tunapomtajirisha Kanji.nilienda ivo lakin nilichofanyiwa na daeg&red dah.
Hapa mkuu Buddy kama umeweka 200,000 asubuhi una 400,000 yako safi, ila hutakiwi kwenda haraka sana. Taratibu unafika ulipopakusudia.
tamaa huwa inaniponza sana mm kutaman hela mkubwa fasta damn it..Usitegemee kutengeneza faida kubwa ya muda mfupi mkuu, andaa bajeti yako ya wiki nzima ya kubetia, kwa mfano nina stake ya wiki nzima, kwa kiwango sawa, jumatatu mpaka ijumaa bajeti yangu ni laki 1 inategemea na uwezo wako, kila siku nitabeti kwa elfu ishirini kwa kila siku sizidishi wala sipunguzi, jumamosi na jumapili bajeti yangu 50,000 haizidi wala haipungui haijalishi nina pesa kiasi gani, kwa mfano hiyo pesa iko pending lakini leo mpaka jumapili nina pesa yake, sibeti kwa tamaa, nabeti kwa tahadhari ili nilichokiweka kirudi na faida, jumapili nafunga hesabu.
Ulisema tutaanza, tukianza tutaenda sawa kiongozi.Sikuona huu mkeka wako Chief !
Pole mkuu, tukitaka tummalize Kanji tutumie mbinu madhubutitamaa huwa inaniponza sana mm kutaman hela mkubwa fasta damn it..
bt daeg&red ndo alikuwa chaguo LA kwanza.
View attachment 475618 over 2.5 hizi Leo tena????????
Kk ngoj nifate kanuni zako nami niwe naambulia mbulia..Pole mkuu, tukitaka tummalize Kanji tutumie mbinu madhubuti