PoaMkuu naomba unitag unapotupia game za Basket 😁
Treni linadandiwa ubavuni yeye analidandia mbele!🤣🏃🏃Binafsi nimemshangaa aisee labda amekalili
Mkeka wetu umechanika mapema sanaView attachment 1682470wale wenzangu wa basketball Leo pesa nje nje
Mkeka ulichanika laki ilienda nipe mwinginePoa poa
Suka mkeka mwingine tupige elaAtalanta kaenda na mtaji
Jana timu moja ilinichania ningekupa iyo kodi1.85 x 0.2 x stake = tax
Umepiga ngap?Asante mwamba naona imetoa hii
Ulikuwa na ela ndogoWengi waliogopa kuufata huo mkeka
Kashinda moja kanipa ela ya chaiBuyrern ni boya sana
Goli mbili zimemshinda
Hahaha mimi nilianzisha gurupu badae nikala kona.Nimetembea magroup mengi ya kubet
Niseme tu ,hapa dunian hakuna mtaalamu wa kubet ,
Unakuta mtu upepo umemuelekea kawin mara tatu mfululizo ,anajiona gwiji anaanzisha group et anauza odd ,badae vipigo vinaanza anakimbia hadi group lenyewe
Hakuna sure odd
Fanya analaysis mwenyewe weka hela
Nimeona mkuu , quarter ya 4 wamefunga 6 tu waduanzi kweliMkeka wetu umechanika mapema sana
Boss naomba tusubiri kesho maana sahivi sina bando ili kucheck timu ngani ambazo hazijaanza na ambazo zimeshachezaMkeka ulichanika laki ilienda nipe mwingine
wakuu bonus ya 22bet unaitumiaje naweka mikeka inakataa
WAKUU BONUS INATUMIKA VIPI KWENYE 22BET?MSAADA TAFADHALI View attachment 1682813
Shukran sanaBonus ya 22bet hadi ukamilishe kujaza particulars zako kwenye profile yako, ikiwemo na namba ya kitambulisho chako cha NiDA