Ndugu nimeku pm Nina shida na ww
Nimekutxt mbonaMbona sijaona kitu PM yangu
mambo vipi,nielekeze mkuuWazee wenzangu. Kuna hii ofa 2000 ya kubetia kwa wale wenzangu na mimi tunaweza fanya kama mtaji. PM nikuelekeze cha kufanya
Ebu ni txt wewe ndugu if utawezaaMbona sijaona kitu PM yangu
Unachosema. Ni Kweli Mkuu
Lakini Naomba Nikukumbushe Tu Idiot Alishawahi Kuweka Hapa Mkeka Kwa PDF Una 90+ Odds.
Nadhani Wote Ni Wajanja Tunajua Mikeka Iliyokuwa Edited, Ila Hii Hapana.
Mimi Ni Mmoja Kati Ya Waliomfuata PM, Hajaniomba Pesa Hajaniomba Chochote Kanipa Stategy Ya Anachokifanyaga Na Website Anazofanyia Analysis
Inawezekana Akawa Anafuta Mikeka Aliyoliwa Lakini Kula Ni Kweli Anakula.
ODDS Mlima Ni Ngumu Kuzipata Lakini Hebu Tupige Hesabu Rahis
Ukipata ODDs Za 2.6 Tano Una More Than 120+ ODDS
Unadhani Hiyo Haiwezekani Kweny Mchezo Mama Ice Hockey Ambao Wengi Hatuhujui.?????
Kuhusu Kutuma Na Kushare Mikeka Ni Uamuzi Wa Mtu, Kuna Watu Humu Walikuja Na Wakasema Kabisa Kuwa Waki Share Mikeka Inaliwa Ila Wakifanya Wao Wanatoboa, So Tubeshimu Alichoamua Cha Msingi Na Kumuomba Awe Anashare Nasi Hata ODDs Tano Au 6.
TUSILAZIMISHANE, TUKUMBUKE KUTOA NI MOYO.
Mkuu hakuna sehemu nimemlazimisha atume tips
Najua kuna watu wanapiga sana hela kwenye betting lakini sio kwa odd hizo,
formula kubwa ya wakamaria waliofanikiwa duniani ni stake kubwa odd ndogo
Haishangazi hata kidogo mtu kustake mil20 kwa odd 2 akala mil40
Lakini inashangaza mtu kupiga back to back odd 150 mara 5 kwa siku
Kinacho umiza wakamaria duniani kote ni mkeka wa odd nyingii
Ndio maana unaona tunalia kila siku una weka buku unataka malaki........infact ndio anachofanya jamaa anaweka 20k anakula 3m
Hapa ndio wasi wasi unapoingia
Wote tuna bet mkuu tunajua huu mziki, odd 150 ni almost umechagua games ambazo probability ya ushindi ni chini ya 30%
You need more than luck kupiga back to back mara tano kwa siku hata kama unabeti mikeka 100
Inawezekana ikawa ni kweli anakula, kinadharia inawezekana kabisa lakini kimahesabu probability inawia vigumu kuamini, vinginevyo atakua ni mtu mwenye bahati sana sana
Mkuu zipo option hadi za odd 300 kwa game moja na zipo option za odd 1.001 kwa game, haijalishi ni game ngapi bali the more odd the more ugumu wa kushinda. Watu tunatoka jasho na odd mbili tu kuipata kwa siku
Mwisho sija sema moja kwa moja kama jamaa ni tapeli ila wapo wengi walikuja na gia hizi za kupost won za hatari, ukimfuata pm anauza odd
Bro tupia basi odds 2 za Leo MkuuMkuu hakuna sehemu nimemlazimisha atume tips
Najua kuna watu wanapiga sana hela kwenye betting lakini sio kwa odd hizo,
formula kubwa ya wakamaria waliofanikiwa duniani ni stake kubwa odd ndogo
Haishangazi hata kidogo mtu kustake mil20 kwa odd 2 akala mil40
Lakini inashangaza mtu kupiga back to back odd 150 mara 5 kwa siku
Kinacho umiza wakamaria duniani kote ni mkeka wa odd nyingii
Ndio maana unaona tunalia kila siku una weka buku unataka malaki........infact ndio anachofanya jamaa anaweka 20k anakula 3m
Hapa ndio wasi wasi unapoingia
Wote tuna bet mkuu tunajua huu mziki, odd 150 ni almost umechagua games ambazo probability ya ushindi ni chini ya 30%
You need more than luck kupiga back to back mara tano kwa siku hata kama unabeti mikeka 100
Inawezekana ikawa ni kweli anakula, kinadharia inawezekana kabisa lakini kimahesabu probability inawia vigumu kuamini, vinginevyo atakua ni mtu mwenye bahati sana sana
Mkuu zipo option hadi za odd 300 kwa game moja na zipo option za odd 1.001 kwa game, haijalishi ni game ngapi bali the more odd the more ugumu wa kushinda. Watu tunatoka jasho na odd mbili tu kuipata kwa siku
Mwisho sija sema moja kwa moja kama jamaa ni tapeli ila wapo wengi walikuja na gia hizi za kupost won za hatari, ukimfuata pm anauza odd
Basi jamaa atakua sio wa kawaida aiseeIla inawezekana anakula kweli na kunasiku hiyo game ya Millwall alipost akiitilia shaka, so alivoleta mrejesho Wa won nmemuamin kidogo kuwa hamna editing... Lakin ushauri wako mzuri Kama ataamua kutuwekea mkeka kabla ya won ili tumpige wote
Bro tupia basi odds 2 za Leo Mkuu
TAHADHARI KABLA YA HATARI
With all due respect mkuu am not here to disrespect you or anything stuff like that
Nimekua hapa jukwaani kwa miaka mingi kidogo na kwenye magroup mengi tu WhatsApp na Telegram , so nina uzoefu wa kutosha na ninacho kiandika
Maranyingi sana, kama sio mara zote ukiona mtu anapost mikeka ilioshinda tena kwa namna ya kipekee bila ya kuipost mikeka hiyo kabla anakuaga ni scammer ame adit mikeka.........prove me wrong
Upo jukwaani hapa unapost won tu tena za hatari kwanini usipost kabla wadau wafaidike? Unatumia 1xbet ni swala la ku share code tu
In real sense kupata odd 100+ sio jambo la kitoto hata siku moja toka betting imeumbwa
Wakamaria wakubwa duniani hakuna aliyefanikiwa kwa odd mlima ila kwa odd za uhakika
How dare unapiga odd 100+ back to back hadi mara 5 kwa siku? Seriously odd 150 mara 5 kwa siku?..........hand up mkuu
Utasaidia wengi wa stake za 1,000 kwa odd 100 ni laki, hata aki lose mara 50 aki won mara moja tu anapata faida 50k
Wamekuja wengi sana kwa gia hii ndio manna kuna hofu na mashaka. na kwakuwa haupost kabla utafuatwa DM kwakuwa watu wanaliwa sana wakijua wamepata mkombozi, hapo ndipo wizi wa utapeli unapo anzia.....DM
Ili usiwe kama wao post kabla mkuu, tupia code
Najua wapo wadau watahisi nakuonea wivu but prove me wrong mkuu
Acha kupost won, anza kupost tip share na wadau kama wanavyofanya akina proffesor, Void nk
Utasaidia wengi kujikwamua kwa ubashiri wako wa uhakika na odd za maana
Wadau mnaokimbilia DM msije kulia lia mmetapeliwa
You have been warned
SawaJaman option ya under 2.5 sijawah kosa toka nimeanza kuicheza ninachoanalyse natafuta odds 1.50-1.59 bas
Jana nilicheza Mara NNE zilitoka zote.kampun za kucheza sportpesa,Parimatch and gsb
Mech za Leo odds 1.54.
Serbia
1.Fk Graficar Beograd
Greece
2.Ergotelis
Morocco
3.Difaa El Jaddidi
Italy lega Pro B
4.Triestina Calcio
5.Imolese Calcio
Israel
6.Maccab Tel Aviv
29/10/2019
Brazil serie B
7.Parana PR
NB:hapo ukiend kuplace bet angalia mech hiyo nimeweka moja tu
Uwe unaweka vocha wewe unaiweka mbali huko unakuja kuikumbuka baada ya miezi miwili???!!!Wakuu wale wanaotumia line ya safaricom huwa isipotumika baada ya muda fulani inakua haifanyi kazi tena???
Nilibanwa na mishe,ss mkuu nafanyaje ili iweze kufanya kaz tena? Nisaidie mkuuUwe unaweka vocha wewe unaiweka mbali huko unakuja kuikumbuka baada ya miezi miwili???!!!