thomas_360
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 1,459
- 1,428
Pole sana mkuu EPL niliwakagua nikaona wanafanya sub kimagumashi so sikutembea nao Jana kabisa...Leo nimetembea na team 10, 5 tayar zimeshatoa 5 zingine nazisubiria. Nimetembea league ya Italy, Hispania, uholanzi, na German huku ndo angalau team zinakuwa zinafanya sub sanaSo sad game ya watford ndio imeniumiza leo kwenye sub. Ila spurs ya mwisho ilikuwa ya wanyama dkk ya 90+3