Nilikuwa naona Professa akiweka humu mikeka yake, siku moja nami nikasema acha nijiunge Meridian nipige pesa kupitia nyota yake.

Akaweka mkeka wa kwanza nikakopi na kupaste, mwisho wa matokeo ikawa ndo hivyo tumepoteza. Nikapiga moyo konde nikaweka tena mwingine alioweka pia ikawa ndo hivyo.

Akakaa kama siku mbili hajaweka mkeka, siku alipoweka nikaruka nao ila wapi ni mwendo wa kupigwa tu. Mwisho nikasema acha nifanye yangu. Nikaanza kubet mwenyewe kwa mawazo yangu nikawa nakula muda mwingine napigwa.

Jana nimekaa na kusaka pointi 15 na zikawin, leo nisaka 22 najua zitawin.

Kwa sasa hata nione humu fixed match siwezi kukopi nitakomaa na akili yangu.

Na wewe unayeleta humu mkeka omba nisiukopi .
 
Nilikuwa naona Professa akiweka humu mikeka yake, siku moja nami nikasema acha nijiunge Meridian nipige pesa kupitia nyota yake.

Akaweka mkeka wa kwanza nikakopi na kupaste, mwisho wa matokeo ikawa ndo hivyo tumepoteza. Nikapiga moyo konde nikaweka tena mwingine alioweka pia ikawa ndo hivyo.

Akakaa kama siku mbili hajaweka mkeka, siku alipoweka nikaruka nao ila wapi ni mwendo wa kupigwa tu. Mwisho nikasema acha nifanye yangu. Nikaanza kubet mwenyewe kwa mawazo yangu nikawa nakula muda mwingine napigwa.

Jana nimekaa na kusaka pointi 15 na zikawin, leo nisaka 22 najua zitawin.

Kwa sasa hata nione humu fixed match siwezi kukopi nitakomaa na akili yangu.

Na wewe unayeleta humu mkeka omba nisiukopi .
Kwamba ukiokopi tu, hola!
 
Nimetumia parimatch kwa mara ya kwanza, nimepiga pesa ila hawaitoi mpk sasa. Naona na ww unatumia parimatch je unamawasiliano yao ya simu. Email hawajibu
Unatoa kiasi gani?

Kamilisha usajili kwa kuwatumia kitambulisho chako na utapewa pesa yako. Hawa watu ni waaminifu sana.

Kama ni zaidi ya 20000 lazima uwatumie kitambulisho na ukishatuma mara moja inakuwa solved moja kwa moja.
 
Naomba uchambuzi, nani anaweza haribu hapo??
PSX_20190820_123237.jpeg
 
Unatoa kiasi gani?

Kamilisha usajili kwa kuwatumia kitambulisho chako na utapewa pesa yako. Hawa watu ni waaminifu sana.

Kama ni zaidi ya 20000 lazima uwatumie kitambulisho na ukishatuma mara moja inakuwa solved moja kwa moja.
Natuma wapi hicho kitambulisho? kwenye usajili nimeupload driving licence na usajili ulikamilika.

Pesa 45000tsh, imekatwa tayari kutoka kwenye account ila mpesa haijafika.
 
Natuma wapi hicho kitambulisho? kwenye usajili nimeupload driving licence na usajili ulikamilika.

Pesa 45000tsh, imekatwa tayari kutoka kwenye account ila mpesa haijafika.
0800787878 piga hiyo namba watakuhudumia kama mfalme.

Waambie dukuduku lako kisha watakupa maelekezo ya kufanya, itatakiwa uwatumie tena whatsapp.

Usichoke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom