SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,430
- 23,752
Yani customer care inakulalamikia na wewe!Hahaha Mkuu umenikumbusha ya TTCL ,customer care analalamika umeme hakuna na Generator ni mbovu .
Yani customer care inakulalamikia na wewe!Hahaha Mkuu umenikumbusha ya TTCL ,customer care analalamika umeme hakuna na Generator ni mbovu .
HatariiiYani customer care inakulalamikia na wewe!
WOOOON TUKUTANE KWA WAKALA4INPLAY
Rangers over 0.5
Mm wana M yangu wameishikilia.Guys niaje, ngoja niwape experience ya 1xbet.com, ku deposit nilikuwa natumia rcdb card inaenda poa tu. Kutoa ikawa shida, inaniambia kiwa kuna shida kwenye system, hangaika sana. Nikawasiliana nao lastly baada ya wiki nikachoka, nikabetia kwa hasara nikaliwa, nika log outnika delete na App.
Kiukweli 1xbet ni ishu sana kutoa pesa. Nafikiri Betpawa wanaweza kuwa wazuri kwa kuwa hawana kodi.
WOOOON TUKUTANE KWA WAKALAINPLAY
CSKA Sofia over 0.5
WOOON TUKUTANE KWA WAKALAINPLAY
Celtic over 0.5
kuna mtu ameniomba nimsukie mkeka'nimemsukia mkeka wa timu 8 za uhakika jamaa akatumbukiza stake 20K .
Timu zote zimeshinda amepiga kama mil 3 hivi na something.
Daaah jamaa nimemuona katili kweli yaani kanipa elfu 10 tu kati ya mil 3.qqumaniner zake
kuna mtu ameniomba nimsukie mkeka'nimemsukia mkeka wa timu 8 za uhakika jamaa akatumbukiza stake 20K .
Timu zote zimeshinda amepiga kama mil 3 hivi na something.
Daaah jamaa nimemuona katili kweli yaani kanipa elfu 10 tu kati ya mil 3.qqumaniner zake