Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Wakuu!
Bila uoga, Wananchi wengi wamejitokeza kuandika comments zenye ujumbe wa 'No Reforms, No Election' chini ya post ya salamu za kheri ya Sikukuu ya Eid al-Adha zilizotolewa na Rais Samia kupitia mitandao ya kijamii.
Badala ya kusherehekea ujumbe huo wa sikukuu kwa kawaida, baadhi ya wananchi wametumia fursa hiyo kuonesha msimamo wao kuhusu haja ya mabadiliko ya kisiasa na kisheria kabla ya uchaguzi mkuu ujao, wakisisitiza kuwa pasipo mabadiliko, hawatashiriki uchaguzi.
Jambo hili linaonesha kiwango cha ujasiri na kiu ya wananchi kushinikiza mabadiliko ya kidemokrasia nchini.
Oparesheni hii imeenda mbali zaidi kwani imepelekea hata baadhi ya viongozi na TBC kufunga sehemu ya comments.
Wananchi pia wameigia mpaka kwenye page ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson
Bila uoga, Wananchi wengi wamejitokeza kuandika comments zenye ujumbe wa 'No Reforms, No Election' chini ya post ya salamu za kheri ya Sikukuu ya Eid al-Adha zilizotolewa na Rais Samia kupitia mitandao ya kijamii.
Jambo hili linaonesha kiwango cha ujasiri na kiu ya wananchi kushinikiza mabadiliko ya kidemokrasia nchini.
Oparesheni hii imeenda mbali zaidi kwani imepelekea hata baadhi ya viongozi na TBC kufunga sehemu ya comments.