post

Post-Impressionism (also spelled Postimpressionism) was a predominantly French art movement that developed roughly between 1886 and 1905, from the last Impressionist exhibition to the birth of Fauvism. Post-Impressionism emerged as a reaction against Impressionists' concern for the naturalistic depiction of light and colour. Its broad emphasis on abstract qualities or symbolic content means Post-Impressionism encompasses Les Nabis, Neo-Impressionism, Symbolism, Cloisonnism, the Pont-Aven School, and Synthetism, along with some later Impressionists' work. The movement's principal artists were Paul Cézanne (known as the father of Post-Impressionism), Paul Gauguin, Vincent van Gogh and Georges Seurat.The term Post-Impressionism was first used by art critic Roger Fry in 1906. Critic Frank Rutter in a review of the Salon d'Automne published in Art News, 15 October 1910, described Othon Friesz as a "post-impressionist leader"; there was also an advert for the show The Post-Impressionists of France. Three weeks later, Roger Fry used the term again when he organised the 1910 exhibition Manet and the Post-Impressionists, defining it as the development of French art since Édouard Manet.
Post-Impressionists extended Impressionism while rejecting its limitations: they continued using vivid colours, sometimes using impasto (thick application of paint) and painting from life, but were more inclined to emphasize geometric forms, distort form for expressive effect, and use unnatural or modified colour.

View More On Wikipedia.org
  1. ngara23

    JamiiForums Tanzania Rio Frednand haja post ziara yake nchini TANZANIA kwenye social platforms zake

    Nyota wa zamani wa Man U na team ya Taifa England yupo Tanzania Kwa ziara ya siku mbili, na kesho anatarajiwa kufika Dodoma Bungeni Ujio wake tulitegemea awe balozi wa utalii na michezo Ila naona yeye alivochukulia ni kama ametokea Bunju B kwenda Kawe, yaani amechukulia kuwa ni jambo la...
  2. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Onyo: Napiga marufuku kwa member yeyote yule kutoa like kwenye post au comment yangu yoyote

    Katika hili naomba niwataje kabisa Kwa members wote hasa Seran na min -me sitaki posts zangu kuwa mnazilike, mnafanya notification dashboard yangu kujaa sana na kujaza server za JF yetu tukufu NAIPENDA SANA JAMIIFORUMS..
  3. M

    JamiiForums Tanzania Media na wasanii Bongo ni wanafiki sana, walikufa watu wengi Oktoba 29, 2025 hamkupost, akifa mtu mmoja post kila kona

    Media na wasanii Bongo ni wanafki sana, walikufa watu wengi Oktoba 29, 2025 hamkupost, kafa mtu mmoja post kila kona halafu mnajiita nyie ni vioo vya jamii. Nyie ni vioo vya jamii gani? Mbona hiyo jamii haiwatambui kama vioo, kwanza vioo mmetoa wapi, unafki tu
  4. C

    JamiiForums Tanzania mtu ajaribu kuni mention mara mbili au tatu kwenye post moja

    kuna utafiti naufanya, naomba kuwashirikisha watafiti wenzangu katika research hii muhimu hapa jukwaani. hivyo kwa heshma na taadhima naomba mtu ataae ni mention kwenye post yeyote zaidi ya mara moja. na pia nitawaletea mrejesho baada ya kukamilisha utafiti huu.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Shule ya msingi ya private Inatafuta mwalimu mkuu mwenye uzoefu wa miaka 3

    Habari za wikiendi? Eid Mubarak Shule ya msingi ya private iliyopo Pongwe,Tanga jiji. 1. Inatafuta mwalimu mkuu mwenye uzoefu wa kazi si chini ya miaka 3 2. Mwalimu wa darasa la kwanza na la pili Awe na uzoefu wa miaka miaka 2 na zaidi. Awe na tabia njema na uwezo mkubwa wa kufundisha...
  6. Jackpiano

    JamiiForums Tanzania Defender 110 vs Land Cruiser 70 Series – Nani ana 4x4 kali zaidi Off-Road? Post:

    Title: Defender 110 vs Land Cruiser 70 Series – Nani ana 4x4 kali zaidi Off-Road? Post: Kuna kitu kimeniwazisha sana kuhusu uwezo wa off-road wa magari haya mawili. Kati ya Land Rover Defender 110 Toyota Land Cruiser 70 Series, ipi ina 4x4 kali zaidi kwenye mazingira magumu kama matope, milima...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Matokeo ya Post Internship Exam, Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) mbona kimya?

    Tunalazimika kutoa malalamiko yetu kwa uwazi na kwa msisitizo mkubwa kwa Baraza la Madaktari Tanganyika kuhusiana na ucheleweshwaji usio na maelezo wa matokeo ya Post Internship Examination. Tulifanya mtihani huu tarehe 17 Disemba, 2025 lakini hadi leo matokeo bado hayajatolewa, hii ni hali...
  8. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kutolipwa Pesa za Kujikimu kwa Watumishi wa Ajira Mpya (Idara ya Afya) Manispaa ya Kigoma/Ujiji

    Sisi watumishi wa Idara ya Afya tulioajiriwa tarehe 23 Juni 2025 katika Manispaa ya Kigoma/Ujiji, tunatoa malalamiko yetu rasmi kuhusiana na kutolipwa kwa pesa zetu za kujikimu ambazo kisheria na kiutaratibu zilipaswa kulipwa mara baada ya kuajiriwa. Hadi kufikia sasa, tumetumikia kwa kipindi...
  9. Q

    JamiiForums Tanzania Ugaidi Tanzania: Mateso, Mauaji, na Utekaji nyara wa Kisiasa unaongezeka. The Washington Post.

    February 6, 2026 Warning: This story contains graphic content. https://t.co/bwpN0QJUj7 Tafsiri isiyo rasmi. Ikimezwa na vita na idadi kubwa ya waliokufa, Afrika inaingia katika aina ya giza ambalo ulimwengu haujawahi kuona. Mto wa damu isiyo na hatia, unaoanzia Nigeria hadi Sudan, unameza...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Nimependa post ya mtu anajiita Papaa Mokonzii huko X. Isome hapa chini

    Bora Makonda maana anajulikana kichwani kabeba mavi! Sasa huyu na ma-PhD yake hapo anaongea uharo gani https://x.com/PMadeleka/status/2017884573984592042
  11. Msanii

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Special Thread for the events regarding National Election in Uganda

    This thread is for posting the videos and pictures of events amid and Post Election Day in Uganda on 16th January 2026
  12. Bongo Tech Giant

    JamiiForums Tanzania Mwongozo wa jinsi ya Kufanya ili Uweze kulipwa na Facebook kila Unapo Post Content Zako

    Watu wengi bado wanatumia Facebook kama sehemu ya kupitisha muda tu, bila kujua kuwa kila siku mamilioni ya dola yanagawanywa kwa creators wanaopost maudhui yanayovutia. Ukweli ni kwamba Facebook siyo tu mtandao wa kijamii ni soko la fursa. Kila unapopost kwenye Facebook, huna post tu kwa ajili...
  13. Kimbesa11

    JamiiForums Tanzania Kuna watu Wapo JamiiForums toka 2005 Mimi nipo darasa la 5 lakini ukiangalia post zao ni kutukana na kukejeli viongozi vipi hamchoki tu

    Watanzania tunajua ukubwa ni dawa sasa imekuwa tofauti kwenye jukwaa letu hili la jamiiforum ambapo hakuna uhusiano kati ya ukongwe wa mwanachama na ukomavu wa akili. Nashangaa kuona mtu yupo jukwaani toka 2005 wakati mm nikiwa darasa la 5 lakini post zake zote ni kutukana na kukejeri viongozi...
  14. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania At least naonaga posts za wazungu huko X hata kama ni consipracy ila ina mashiko, ila humu mtu ana post vitu kuntu ukimchallenge kidg anaishia kukutus

    Ukiwa challenged haimanishi mtu amedharau tafakuri yako, lakini namna unavyo react ndivyo inavyo prove ukomavu wa fikra yako. FACTS NO FEELINGS
  15. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Post ya CIA imenifikirisha: Wamelisifia Ziwa Malawi (Ziwa Nyasa) pasipo kuitaja Tanzania!

    Wakati wenye mamlaka wakiwa busy kuponya majeraha ya MO29, kwa kuyakanusha na kupindua taarifa za ukweli; wenye dunia yao huko duniani, hawachoki kuitafiti dunia na ku shape geopolitics kulingana na taarifa sahihi za kiuchunguzi. Jana niliingia Instagram, kwenye post ya CIA, nikakuta wameweka...
  16. stakehigh

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Appreciation post kwako CDF Jacob John Mkunda

    Jacob John Mkunda is a Tanzanian military officer who currently serves as Chief of the Tanzanian People's Defence Force since 30 June 2022. Early life Mkunda attended the Ruvu Secondary School, where he played on the football team and was involved in student government.[1] Career In February...
  17. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Kupitia hii post ya Askofu Mwamakula huenda askofu ana kikundi cha utesaji

    Mwenyewe anadai kuna watu walilipa gharama mara baada ya utawala wa Magufuli kwa kosa la kumtolea kauli chafu mtandaoni. Askofu amedai ana watu wake wa kumfanyia hiyo kazi ya kuwaadhibu watu waliomkosea. Je, Askofu Mwamakula sio mhusika wa genge la WASIOJULIKANA? Kwa maelezo yake ni kwamba genge...
  18. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Msigwa: Uhakiki wa video za CNN unaendelea, serikali inatoa wito wa CNN kufuata weledi na maadili ya uandishi

    Kuhusu serikali kufanya uhakiki wa ripoti ya CNN, Msigwa amesema: Uhakiki wa makala unaendelea, lakini hawajafuata weledi na uadilifu kwenye uandishi wa habari. Si kweli CNN ilishindwa kupata upande wa serikali, akisema inashangaza chombo kama CNN kufanya makosa ya kiweledi kama hayo...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri wa kusimamia group la facebook kabla sijalitelekeza, Nimechoka kufuta post za biashara, waganga, n.k.

    Niliwahi kuanzisha group la Facebook kwa kitu amnacho nina interest Lakini sasa limekuwa kubwa members elf 18, ninacho kutana nacho ni rundo la post za Biashara, waganga, free mason, vinyozi, siasa, dini, n.k. Magroup makubwa huwa wanawezaje na unakuta kazi yote anafanya admin
  20. M

    JamiiForums Tanzania Msanii Diamond afuta post zote za CCM

    Kaondoa hadi post ya kumtakia heri Samia Suluhu kwenye Uchaguzi Mkuu 2025. Ndo kishawasaliti au kanusa kitu mbele?
Back
Top Bottom