no reforms no election

The Constitutional Reform Act 2005 (c. 4) is an Act of the Parliament of the United Kingdom, relevant to UK constitutional law. It provides for a Supreme Court of the United Kingdom to take over the previous appellate jurisdiction of the Law Lords as well as some powers of the Judicial Committee of the Privy Council, and removed the functions of Speaker of the House of Lords and Head of the Judiciary of England and Wales from the office of Lord Chancellor.

View More On Wikipedia.org
  1. Q

    JamiiForums Tanzania Mbowe ndiye mwanzilishi wa 'No Reforms No Election' 2024, kwanini hakuunganishwa kwenye kesi ya uhaini ya Lissu.

    Moja ya mashitaka kwenye kesi ya uhaini ya Lissu ni kutumia kauli ya No Reforms No Election, kauli ambayo mwasisi wake ni Mbowe aliyekuwa Mkiti wa Chadema 2024. Kwanini mahakama isimuite Mbowe aje afafanue alikuwa na maana gani badala ya kumbana Lissu peke yake atoe ufafanuzi, au kwanini hakuwa...
  2. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tundu Lissu: No Reforms, No Election ni kauli ya Freeman Mbowe

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Tundu Antipas Lissu anayekabiliwa na kesi ya uhaini ambapo leo Agosti 24, 2026 amesimama Mahakamani kuendelea kujitetea. Tundu Lissu ameiambia Mahakama kwa Kauli mbiu ya NO REFORMS, NO ELECTION siyo yake bali ni ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama...
  3. ngara23

    JamiiForums Tanzania Ilikuwa No Reforms No Election, Sasa ni no reforms no Afcon 2027

    Wabishi mtaelewa baadae
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Farhan wa Clouds FM: Wanaomtuhumu Heche, zikija hoja za 'No Reforms, No Election', Free Lissu huwaoni

    Mtangazaji wa Clouds FM, Farhan, ameeleza mtazamo wake kuhusu wimbi la tuhuma zinazomkabili Kaimu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, akisema kuwa kuna aina ya watu na hata baadhi ya wanachama wa chama hicho ambao wamekuwa mstari wa mbele ku-comment kwa kudaiwa kula fedha za chama. Hata hivyo...
  5. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Lyenda: Msimamo wa 'No Reforms, No Election' utaendelea hadi 2030 kama hakutakuwa na maboresho ya Sheria

    Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Gerva Bernard Lyenda amesema kuwa siyo sawa kuzungumzia uchaguzi ujao wakati ule uliopita haukufanyika kwa misingi sahihi. Lyenda ameeleza kuwa CHADEMA inaendelea kusimamia msimamo wake wa "No Reforms, No...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wakili Madeleka: "No Reforms, No Election" haiwezi Kufanywa Uhaini

    Wakili Peter Madeleka amesema "No Reforms, No Election" haiwezi Kufanywa Uhaini, akisisitiza kuwa madai ya mabadiliko ya kisiasa na kikatiba ni haki ya msingi ya kidemokrasia na sio uchochezi au kosa la jinai. Alifafanua kuwa katika mfumo wa vyama vingi, kila chama kina haki ya kuwa na sera na...
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Godbless Lema: “Oktoba Tunatiki, ‘No Reforms No Election’ Inachocheaje Maandamano? Maandamano yamechochewa na Uhuni na Ukandamizaji wa Haki

    Godbless Lema amendelea kukiwasha na kutoa maoni yake yalitokea Oktoba 29, 2025. Godbless Lema amesema Oktoba tunatiki, No Reforms No Election inachocheaje maandamano? Maandamano yamechochewa na uhuni na ukadamizaji wa haki na Demokrasia katika nchi ya Tanzania. Soma Pia: Godbless Lema: Watu...
  8. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Kauli za wanasiasa kama 'No Reforms No Election', Oktoba Tunatiki/Tunatoka, Samia Must Go zilichochea watu washiriki kwenye vurugu

    Wakuu Anazungumza Jaji Chande leo wakati anakabidhi anakabidhi Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili, 2026, Dar es Salaam
  9. kavulata

    JamiiForums Tanzania CHADEMA hawakusoma alama za nyakati wakati wa kuliandaa jambo lao

    Haki za wanawake: Dunia inafanya majaribio (pilot study) kuhusu wanawake (women empowerment) kushika nafasi kubwa duniani. Dunia nzima inawaona chadema (wanaume) kama vile wanachukua advantage kwa Rais kuwa mwanamke wakidhani kuwa wanawake ni dhaifu kuliko wanaume. Walitumia watu dhaifu sana...
  10. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Ni ipi sera ya CHADEMA kwa sasa baada ya No Reforms, No Election (NRNE)?

    Uchaguzi ushaisha na mambo yanaendelea je chadema kwa sasa wana sera gani ambayo hata leo mwenyekiti wao akitoka watatamba nayo kwenye mikutano ya hadhara? Siasa siasani karibuni wanachadema mtujuze sisi ambao hatuna vyama
  11. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Oktoba tunatiki au No reforms No election Nani waliibuka washindi?

    Oktoba tunatiki walikuwa wanahimiza watanzania wakapige kura, wakati No reforms No election walikuwa wanahimiza watanzania wasipige kura kama hakuna marekebisho ya Katiba na Sheria za uchaguzi. Baada ya uchaguzi kufanyika, jee kati ya pande hizo mbili , ipi wameibuka washindi?
  12. Heparin

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ama kweli hii Serikali ni sikio la kufa. Kwanini bado mnawinda vijana usiku wa manane?

    Hali bado ni tete mtaani. Polisi wakishirikiana na wajumbe wa Serikali za Mitaa wanawinda watu, hasa vijana wa kiume, usiku wakiwa wamelala. Mbaya zaidi wanabeba kila mtu bila kujali lolote, na ole wako wakukute na jeraha lolote cha moto utakiona. Vijana hawa wakichukuliwa hawaonekani kwenye...
  13. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 No Reforms No Election yafanikiwa, Umma umeukataa uchaguzi feki

    Ni dhahiri wananchi wameukataa uchaguzi feki, wengi hawakujitokeza kwenda kupiga kura na maelfu waliingia barabarani kuandamana kupinga uchaguzi huo na kudai haki. Kilichofanyika ni kumtangaza yule mama kushinda kwa kura ambazo kimsingi hazikuwepo bali ni magumashi tu. Kwa sasa huyo mama...
  14. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wenje: Wengi Kamati Kuu CHADEMA walipinga 'No Reforms No Election'

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje amesema asilimia 80 ya wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA hawakukubaliana na msimamo wa 'No Reforms, No Election,' ndiyo maana wengi wamekihama chama hicho.
  15. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Shirika la TAFEYOKO: 64% ya wanawake na 36% ya wanaume waahidi kupiga kura, kisha kurejea nyumbani siku ya Uchaguzi

    Shirika la Vijana na wanawake Tanzania (TAFEYOKO) limesema limefanya utafiti katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani ambao umeonesha asilimia 64 za wanawake na asilimia 36 za wanaume wamesema wakishamaliza kupiga kura watarejea nyumbani.
  16. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 RC Shinyanga Mboni Mhita: Tutahakikisha siku ya Uchaguzi inapita kwa amani. Hatutamvumilia yeyote atakayevuruga amani

    Wakuu, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mboni Mhita, amewatoa hofu wananchi wa mkoa huo kuhusu hali ya usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, akisisitiza kuwa mkoa uko salama na hauna tishio lolote la kiusalama. Akizungumza katika kikao na waandishi wa habari...
  17. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tusivurugane Akili, Lengo Linabaki Lilelile: No reforms, No election

    Oktoba 29 dhumuni ni lile lile Watanzania walilo jiwekea: Bila ya Mabadiliko, Hakuna Uchaguzi. Sasa kwa nini tuanze tena kutafuta visababu vya kupotezeana akili? Maandamano nchi nzima ni nyenzo muhimu ya kuzuia uchafuzi huo aliojipangia Samia na Genge lake ili abaki madarakani kwa nguvu. Kwa...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM waogopa hadi bendera! Mwenyekiti wa CCM aagiza bendera za CHADEMA zishushwe wakati wa ziara ya kampeni ya Samia

    Katika video inayosambaa mitandaoni ikionyesha kundi la wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa katika harakati za kushusha bendera za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika maeneo mbalimbali ya Musoma. Kwa mujibu wa maelezo yanayosikika kwenye video hiyo, hatua hiyo inadaiwa...
  19. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wananchi ikiwemo watoto wapanda kwenye jukwaa la CCM wakisema "No Reforms No Election"

    Wakuu, Mko wapi? Mambo yameendelea kuchemka huku Yaani ni wazi kuwa watu wameamua.
  20. McLaren

    JamiiForums Tanzania Mwingine ajitokeza kusema kuwa Jeshi litawaunga mkono wananchi kwenye maandamano. Wataalamu, huyu ni mwanajeshi kweli?

    Wanabodi, Nimekutana na clip hii ya huyu kijana akiwa amevaa nguo za JKT akisema kuwa kama Jeshi lenyewe linaunga mkono maandamano na asijitokeze yoyote kuwaumiza wananchi kwenye maandamano hayo Sasa najua kuna wajuzi humu. Huyu ni mwanajeshi kweli au ni changa la macho Kama kweli huyu...
Back
Top Bottom