Mimi ni mwalimu idara ya msingi,wilaya ya Sengerema.Nipo Sengerema mjini.Kama kuna yoyote anaehitaji kuhamia Sengerema mjini,kutoka Dar es salaam au kilimanjaro,anicheck kwenye namba 0652 394 266.
Nawatafutia wadogo zangu mtu wa kubadilishana vituo vya kazi mmoja yupo maswa na mwingine yupo katavi wanataka kurudi mkoa wa njombe ilikuwa karibu na familia atakae kuwa tayari tuwasiliane kupitia namba hzi hapa hv 0766597333/0712230770(Wote wapo idara ya shule za msingi)
Mimi ni mwalimu wa sekondari mwajiriwa katika manispaa ya Mtwara Mikindani (Mjini) masomo ya sayansi natafuta mwalimu wa kubadilishana nae vituo vya kazi kutoka morogoro,kama unapenda kuja mtwara nitafute 0765-057495
Nipo Magu Mjini S/msingi kwa aliyetayari kubadilishana kutoka Mkuranga,Kibaha, Morogoro Manispal au Manispal yoyote ya mkoa w Dar es salaam naomba Ani-PM.
Nipo Magu Mjini S/msingi kwa aliyetayari kubadilishana kutoka Mkuranga,Kibaha, Morogoro Manispal au Manispal yoyote ya mkoa w Dar es salaam naomba Ani-PM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.