peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,827
- 21,456
TANGAZO KWA WAKUU WOTE WA SHULE MOSHI MANISPAA:
Wakuu wa Shule za msingi Moshi Manispaa, Mkoa wa Kilimanjaro ,tafadhali wasilisheni michango kwa ajili ya chakula cha walimu watakaohudhuria semina kesho, tarehe 25.01.2024.
Kila shule au kituo kinatakiwa kuchangia bila kukosa ni TSh. 100, 000/=. Pia wapeni taarifa walimu watakaohudhuria ili kesho tarehe 25.01.2024 kabla ya saa 1:30 asubuhi wafike TRC (Teachers Resources Center).
Wako
Ester Michael Rwambau(+255 682 848 443).
Kny: Mkurugenzi wa Moshi
Manispaa.
Maswali ya msingi ya kujiuliza:
1. Wakuu wa shule wanapata wapi hizo fedha au kupitia vyanzo Gani?
2. Kwenye kituo cha walimu Kuna mhasibu wa kupokea hizo fedha?
3. Ni nani anaratibu mapato na matumizi ya hizo fedha?
4. Kwanini malipo hayo hayalipwa kupitia Control number?
5. Kwanini fedha hizo hazilipiwi kupitia mtunza hazina wa Moshi Manispaa?
6. Ester Michael Rwambau amepewa mamlaka Kwa barua ipi ya kutoka maelekezo ya Kila shule kulipia fedha kitu ambacho hakipo kwenye mwongozi wa elimu?
7. Kituo hiki kinatumika kama uchochoro wa kukusanya fedha za wizi au kugawana na Afisa elimu.
8. Kituo hiki hata fedha za kuchapa mitihani zinapelekwa Kila WAKATI kwenye TRC bila mamlaka za serikali kujulishwa, na hakuna wa kuuliza mapato na matumizi ya fedha zinazokusanya kutoka Kila shule.
9. Idadi ya walimu waliopo ndani ya TRChiyo ni kubwa na wanapelekwa hapo bila barua au kujulikana na REO ili kujipumzishia hapo na hawana kazi muhimu kupitia miongozo iliyoanzisha TRC, tunaomba waondolewe wakaongeze nguvu kufundisha madasani Kuna upungufu mkubwa wa walimu.
10. Wengine wamewekwa kituoni hapo Kwa sababu ya kutoa Rushwa ili wakapumzike hapo bila kufundisha.
11. Afisaelimu msingi na secondary wote ni wapokeaji wa malalamiko ila sio watatuzi wa malalamiko ya walimu. Wanasema wanajulikana na Wana mtu mkubwa huko juu.
12. Idara ya elimu msingi Ina shule za serikali 36 ila Ina wataaluma (mabosi 3) watatu kutoka Halmashauri, unakuta utendaji wa wataaluma watatu, Kwa shule 36 ni matumizi mabaya ya raslimali watu, na unakuta ni WA awake wa watu au watoto wa mtu Fulani.
13. Kituohicho cha walimu kina watumishi zaidi ya idadi inayohitajika na hawana sifa za kukaa kituo cha walimu kulingana na mwongozi ulioanzisha vituo vya ualimu.
14. Kazi ya kituo cha walimu ni kuwasaidia walimu kutoa mafunzo, senina na washa za kielimu, kituo hicho hakitimizi wajibu HUO kwanini hakuna watumishi wenye sifa.
Msema kweli mpenzi wa Mungu!
Wakuu wa Shule za msingi Moshi Manispaa, Mkoa wa Kilimanjaro ,tafadhali wasilisheni michango kwa ajili ya chakula cha walimu watakaohudhuria semina kesho, tarehe 25.01.2024.
Kila shule au kituo kinatakiwa kuchangia bila kukosa ni TSh. 100, 000/=. Pia wapeni taarifa walimu watakaohudhuria ili kesho tarehe 25.01.2024 kabla ya saa 1:30 asubuhi wafike TRC (Teachers Resources Center).
Wako
Ester Michael Rwambau(+255 682 848 443).
Kny: Mkurugenzi wa Moshi
Manispaa.
Maswali ya msingi ya kujiuliza:
1. Wakuu wa shule wanapata wapi hizo fedha au kupitia vyanzo Gani?
2. Kwenye kituo cha walimu Kuna mhasibu wa kupokea hizo fedha?
3. Ni nani anaratibu mapato na matumizi ya hizo fedha?
4. Kwanini malipo hayo hayalipwa kupitia Control number?
5. Kwanini fedha hizo hazilipiwi kupitia mtunza hazina wa Moshi Manispaa?
6. Ester Michael Rwambau amepewa mamlaka Kwa barua ipi ya kutoka maelekezo ya Kila shule kulipia fedha kitu ambacho hakipo kwenye mwongozi wa elimu?
7. Kituo hiki kinatumika kama uchochoro wa kukusanya fedha za wizi au kugawana na Afisa elimu.
8. Kituo hiki hata fedha za kuchapa mitihani zinapelekwa Kila WAKATI kwenye TRC bila mamlaka za serikali kujulishwa, na hakuna wa kuuliza mapato na matumizi ya fedha zinazokusanya kutoka Kila shule.
9. Idadi ya walimu waliopo ndani ya TRChiyo ni kubwa na wanapelekwa hapo bila barua au kujulikana na REO ili kujipumzishia hapo na hawana kazi muhimu kupitia miongozo iliyoanzisha TRC, tunaomba waondolewe wakaongeze nguvu kufundisha madasani Kuna upungufu mkubwa wa walimu.
10. Wengine wamewekwa kituoni hapo Kwa sababu ya kutoa Rushwa ili wakapumzike hapo bila kufundisha.
11. Afisaelimu msingi na secondary wote ni wapokeaji wa malalamiko ila sio watatuzi wa malalamiko ya walimu. Wanasema wanajulikana na Wana mtu mkubwa huko juu.
12. Idara ya elimu msingi Ina shule za serikali 36 ila Ina wataaluma (mabosi 3) watatu kutoka Halmashauri, unakuta utendaji wa wataaluma watatu, Kwa shule 36 ni matumizi mabaya ya raslimali watu, na unakuta ni WA awake wa watu au watoto wa mtu Fulani.
13. Kituohicho cha walimu kina watumishi zaidi ya idadi inayohitajika na hawana sifa za kukaa kituo cha walimu kulingana na mwongozi ulioanzisha vituo vya ualimu.
14. Kazi ya kituo cha walimu ni kuwasaidia walimu kutoa mafunzo, senina na washa za kielimu, kituo hicho hakitimizi wajibu HUO kwanini hakuna watumishi wenye sifa.
Msema kweli mpenzi wa Mungu!