mwalimu wa sekondari wa kubadilishana kutoka MOROGORO kwenda DODOMA mjini ani PM
hivi hapa kilosa mjini hampataki? Njoon bas mi nisepe
sekondari
Mimi mwlm wa shule ya sekondari Kayenzi iliyoko Manispaa ya Morogoro natafuta mwl wa kubadilishana nae yeye aje Manispaa ya Morogoro mimi niende Manispaa ya Temeke mkoani Dar. Nina miaka saba kazin nina TSD na nimethibitishwa kazini. Mwenye interest tuwasiliane pleas
Njoo Singida mjini nije Moro
me nipo DARFUL nataka enda SYRIA nipm[ msilete michezo watu wapo serious