Naomba msaada wa muundo wa barua ya kuomba uhamisho (kwa njia ya kubadilishana kituo cha kazi)

Foxhunters

Senior Member
Nov 25, 2019
123
67
Wakubwa heshima kwenu, naomba kusaidiwa muundo wa barua ya uhamisho. (kwa njia ya kubadilishana kituo cha kazi na mtumishi mwenzangu).

Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi nahama kwenda halmashauri moja ya mkoa wa Mbeya na huyo mwenzangu anahama kuja halmashauri fulani ya mkoa wa Simiyu.

Binafsi sifahamu njia za kupitia ili nifanikiwe kwa haraka. Natanguliza shukrani za dhati kabisa
 
Wakubwa heshima kwenu, naomba kusaidiwa muundo wa barua ya uhamisho. (kwa njia ya kubadilishana kituo cha kazi na mtumishi mwenzangu).

Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi nahama kwenda halmashauri moja ya mkoa wa Mbeya na huyo mwenzangu anahama kuja halmashauri fulani ya mkoa wa Simiyu.

Binafsi sifahamu njia za kupitia ili nifanikiwe kwa haraka. Natanguliza shukrani za dhati kabisa
Jina lako na anuani yko upande wa kulia juu

Upande wa kushoto chini una andika KK afisa elimu wko (DEO) na anuani ya mkurugenzi wko chini unashuka chini unaweka anuani ya DEO wa halmshuari unayotaka kuhamia na anuani ya mkurugenzi wa halmashauri unayotaka kuhamia.

Kwenye maelezo Sasa ndo utatoa izo comment me mtumishi flani ,cheque namba yko , cheo chako , mwaka wa ajira yko unataka kuhamia sehemu flani na unabadilishana na flani (utataja majina yke, cheki namba, wadhifa wke).
 
Nashukuru mkuu, lakini inaenda kwa katibu mkuu TAMISEMI then inapitia kwa watu uliowataja hapo juu?
 
Back
Top Bottom