Kama ewe ni mwalimu (msingi) upo wilaya ya rungwe,mbozi ama momba na unataka kwenda kufanya kazi mkoa wa tabora, wakati wako wa kufanikiwa umefika. Wasiliana nami kwa 0756029052 / 0719029052
 
Natafuta mwalimu wa sekondari wa kubadilishana naye kituo cha kazi. Yeye aje URAMBO-TABORA nami nije halmashauri yoyote mkoani SHINYANGA(Yaani kati ya KAHAMA, SHINYANGA VIJIJINI au MJINI, KISHAPU na USHETU. Pia BUKOMBE-GEITA na NZEGA-TABORA. Aliyetayari tuwasiliane kwa simu Na.0783496326 au 0765780233

Nani wakupelekwa kumbisiganga au unyankulu aku!
 
Wakuu ukipata mtu wa kubadilishana nae kituo cha kazi unatakiwa uwe umekaa kazini kwa muda gani? Anayejua plz nitext 0763541222
 
Mimi ni mwl wa sekondari, nipo halmashauri ya mji wa Kahama, shule ipo mjini. Napenda kwenda manispaa ya mkoa wowote hapa Tanzania. Tuwasiliane 0774 205159
 
Mm nipo halmashauri ya mji wa Kahama, mkoani Shinyanga. Nahitaji kwenda manispaa ya mkoa wowote hapa Tanzania. Tuwasiliane 0774 205159.
 
kama unapenda kuja halmashauri ya wilaya ya geita ni pm but uwe tanga jiji, muheza, kibaha mji, kibaha vijijini au bagamoyo.
nb: mwl wa secondary.
 
We Nenda Pale Ofc Za Halmashaur Tunduru Pale Idara Ya Elimu Kwenye Mbao Za Matangazo Kuna Jamaa Anaitwa David Yuko Simiyu Anataka Aje Tunduru,kuna Contact Zake Pale
 
Natafuta mwalimu wa sekondari wa kubadilishana naye kituo cha kazi. Yeye aje SIMIYU nami nije halmashauri ya SHINYANGA MJINI. Aliyetayari tuwasiliane kwa simu Na. 0769814778
 
Mimi nipo Nzega-Tabora, anayetaka kuja huku toka Pwani, Dar, Iringa,Njombe au Mbeya ani PM please. Mwalimu wa Msingi
 
Back
Top Bottom