Vp mkuu ulishapata au??Mwenye kujua machimbo ya boxer kwa bei ya jumla zile za yarrison na jeans kwa 12k tusaidiane.. Hela ya maji ipo.
Maeneo ya gerezani sekondari au wapi mami?Gerezani na bei nafuu mno hadi utashangaa
Ila zunguka maduka tofauti tofauti kabla ya kufanya manunuzi
Maeneo ya gerezani sekondari au wapi mami.?
Asante sana Mamy🙏Opposite dear
Au kwa kifupi, daladala za gerezani temeke za kijani mkolezo zile zinakopaki, sasa ile barabara unakuja nayo moja kwa moja Kama unataka kwenda mnazi, utaona tu nje maturubai vitambaa mazulia
au ukifika gerezani tu uliza utaelekezwa
Ukitaka bidhaa bei nafuu sa hv jilipue Tu uagize nje Mzee....kariakoo pale pamebadilika Sana, wezi wengi alaf bei wanauza juu kweli ....dunia ya sa hv watu wanajitahd kumkwepa mtu wa Kati (dalali) kadiri inavyowezekana, sa hv kama Una hela unachukua mzigo kiwandani we unakuja uza reja reja unamkwepa mtu wa katiMkuu kuhusu nguo za ndani nilienda ile mitaa yake pale Kariakoo ila bei ilikuwa kubwa kuliko bei ya Mbeya ambako ndio nilitaka nitume baadhi ya mzigo. Nilikata tamaa maana nilienda kama mara tatu kutafuta bei nafuu ila wote bei zilezile
Mkuu hela za za boom kuagiza mzigo China nitakula sana mihogo. Its too dangerousUkitaka bidhaa bei nafuu sa hv jilipue Tu uagize nje Mzee....kariakoo pale pamebadilika Sana, wezi wengi alaf bei wanauza juu kweli ....dunia ya sa hv watu wanajitahd kumkwepa mtu wa Kati (dalali) kadiri inavyowezekana, sa hv kama Una hela unachukua mzigo kiwandani we unakuja uza reja reja unamkwepa mtu wa kati
Fanya Biashara ya kununua na kuuza nguo za ndani za, na hasa zile za bei za kawaida za kike na kiume wakubwa na watoto kutoka Dar kariakoo.
Baadhi ya mahitaji ya wadau:
Naombeni kupewa orodha ya maduka ya suti za kiume (za kisasa) yaliyopo Kariakoo. Nahitaji kuyazungukia. Kwasababu ya muda siwezi ku-design kwa fundi ndo maana nataka kuitungua dukani. Shukrani.
Kariakoo au Dar ni wapi tutapata pochi, vitenge na viatu vya kike bei za jumla? Maana wenyeji wengi hawapendi kutupeleka kwenye machimbo.
Baadhi ya majibu/maelekezo ya wadau:
Mbona inagoma kujiunga?Uzi wenyewe huu hapa link yake
Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo njooni tujuzane machimbo ya bidhaa
Vp kaka ulishapata hilo chimbo la vijola?Sawaa mkuu...Ila leo nmetoka Kkoo, vijora vingi Bei yake ya jumla ni-:
Vya mtandio elf 11 hadi 12 inategemea
Visivyo na mtandio elf 6.
Ila kuna sehemu nimeona maeneo ya shimoni kuna cherehani nyingi watu wapo kazini, sasa sijajua ndio watu wanaoshona hivyo vijora au mafundi tu... Maana nilisikia vijora wanaagiza kutoka Mombasa.
Madira bado nafatilia.
Vp kaka ulishapata hilo chimbo la vijola?
Mkuu charty , naomba chimbo la mazagazaga ya salon za kike, i.e Nywele (darling, amigo, angels), Rasta, Mafuta, Dawa, Shampoo, n.k.
View attachment 1743356
Nenda mitaa ya GerezaniWakuu
Naomba kufahamu machimbo wanayouza vitu vya dukani vya jumla kama soksi, vitambaa, miswaki, rula, pen, toothpick, super glue, aina za pipi zote...nk
Natanguliza shukrani
Nenda kariakoo Soko dogo. Pale muulize MTU yoyote ule mtaani upi kuna vikopo kibaoo utaelekezwa ni karibu Sana na soko dogo.hello naomba chimbo la hz
takeaway màna pale k.koo shimoni
zinauzwa bei mnoView attachment 1704286View attachment 1704285View attachment 1704288View attachment 1704287