naomba kama kuna anaefahamu izi nguo zinauzwa minadani zinapatikana chimbo gani kariakoo bei ya jumla ?

8886475F-BB97-4AA0-9E3E-238BBD7CF4C4.jpeg


33717D12-740A-4280-9BB1-28261F6D6955.jpeg


C48AE960-D02A-449B-AF83-B963D415F877.jpeg
 
Naomba kujua machimbo ya vitu vifuatavyo
T-shirt 4m6 zile machinga wanauza 7000
Sandals za kike zile machinga wanauza 3500
Vijora vile wanaviuza 6000
Bidhaa za dukani kama Foil, miswaki, pipi, jaladio, soksi, pencel, pen, daftari, kofuli, lesso n.k
Sandals za kike na kiume za kimasai
Boxer zile zinafungwa tatu tau machinga wanauza 10,000
Jeans ambazo machinga wanauza 12,000

Kwa anayejua akiweka na bei za kununulia kwa jumla itapendeza zaidi.
Sandals za kimasai zipo kariakoo na makumbusho pia..!
Bei ni 4500 kwa kila moja mtaani zinauzwa 10k +
(Kituo cha msimbazi police, uliza yeyote)
 
Back
Top Bottom