nguo

  1. V

    Polisi Wavamia Nyumbani kwa Mbyella, Wachukua T-Shirt, Kofia, Nguo na Bendera za CHADEMA

    Nimepata taarifa kwamba usiku wa kuamkia leo mida ya saa nane, Jeshi la Polisi limevamia nyumbani kwa Yoromu Mbyella, mfanyabiashaa ambae huwa anauza sare za CHADEMA wakidai wanamtafuta kwa kosa la kutengeneza Tshirt zenye maandishi “FREE TUNDU LISSU” Kwa mujibu wa mtoa taarifa, Mbyella...
  2. M

    Pasi ya maji hulinda nguo zako na kuzitoa smart kuliko pasi kavu, pasi za maji sio mbovu, zitumie kwa namna hii na hutafikiria tena kutumia pasi kavu

    Watu wengi wamekariri kutumia pasi kavu bila kujua zinachangia pakubwa kuharibu nguo zao Pasi kavu huchosha kitambaa, huchosha nyuzi na fabrics, huondoa mwonekano mzuri wa nguo na kufanya zifubae mapema. Ndio maana mara nyingi utaona nguo za mtumba zimetumika miaka mingi huko zilipotoka lakini...
  3. M

    Wadada ni nguo gani ya mpenzi wako unapenda kuivaa?

    Moja ya kitu wanapenda kufanya wanawake wengi ni kuvaa nguo za wenza zao, moja ya nguo huvaliwa zaidi ni Tisheti, japo wapo wanaokwenda mbali zaidi na kuvaa boksa, vesti, soksi, suruali nk ili mradi tu ajisikie raha kuwa amevaa ngo ya mtu anayempenda. Japo wapo baadhi ya Wanaume hawapendi nguo...
  4. Last_Born

    Je, ni sahihi msichana kuvaa nguo za ndani za kiume(boxers)

    Kumekua na tabia ya baadhi ya wadada kuvaa nguo za ndani za kiume boxers na wameamua kunormalize kabisaa kiukweli hiki kitu upande wangu sikipendi na hata ikitokea nimeingia faragha na msichana nikimkuta na uvaaji huu huwa inanikata mood mno
  5. JanguKamaJangu

    Yanga yapigwa faini Sh Milioni 30 kwa kutumia nyumba ya mtu kuwa chumba cha kubadilishia nguo

  6. P

    Ni duka gani la nguo na viatu naweza kupata bidhaa original?

    Wakuu nipo njiani kuja Dar ningependa kujua duka lenye bidhaa og namaanisha shati, tshirt, suruali ,viatu pamoja na crocs og.
  7. Tlaatlaah

    Kwanini kumvua nguo za ndani huwa ni rahisi na fasta sana, lakini tendo la kumvalisha husahaulika kabisa baada ya mgegedo?

    nini siri ya hali hiyo ya kipekee muwapo faragha na mwenzi wako hasa wa mara ya kwanza? Eti wanaume, kulikoni unaingia faragha na mwenzi wako huku ukimuharakisha achojoe nguo zake na wewe ukikimbilia zaidi kuvua pichu? ni nini huchochea hali hiyo? Na ni kitu gani kinakufanya usimvalishe baada...
  8. MamaSamia2025

    Uzoefu wangu kwenye biashara ya duka la nguo

    Wakuu leo nimeona niandike uzoefu wangu mdogo kwenye hii biashara ya duka la nguo. Huenda ikamsaidia mtu fulani humu atakayesoma uzi. Kwanza kabisa hii biashara sikuwahi kuota ipo siku nitaifanya kwa sababu nilikuwa siielewi na pia kuiogopa kwa sababu marafiki zangu walikuwa wakianzisha na ndani...
  9. USSR

    G strings ndio nguo ya kuombewa msamaha na manzi, bila hiyo bro usikubali kusamehe mtu

    Watu wengi wamekuwa wakijiuliza hizi nguo huwa Zina valiwaje? Yani inakuwaje. Ukweli ni kwamba, hizi Zina itwa G string au thog, kikubwa zaidi ni kwamba Zina faida kuu mbili ambazo zitakushangaza kwakweli. 1- Bila shaka umewahi Kumuona mdada kavaa nguo iwe suruali au gauni la kubana ila...
  10. Mkalukungone Mwamba

    Tupia nguo yako kali unayoikubali muda wote

    Nguo yako ni ipi ambayo unaviaa kwenye matukio muhimu na ukiivaa unajiona umewaka kinoma noma
  11. Masalu Jacob

    Wazo la uchumi kwa Tsh.50,000,000 kwa kijana: Uundaji wa kiwanda cha Nguo

    Habari Waziri wa Vijana Tanzania !. Nakuomba niweke hapa wazo langu wazi wazi endapo ukinipatia hiyo Milioni hamsini (Tsh.50,000,000/=). Nakusudia kuanzisha Kiwanda cha Uundaji wa nguo (Work on progree products) yaani kuchakata kitambaa kuwa nguo au vazi kamili( Finished products). Kupitia...
  12. Arsenal Gunner

    Tangia nianze mazoezi na kupiga pamba Kali nguo zinanikaa naona mademu wananishobokea sana

    Yaani nilikuaga nikitongoza demu lazima anichomolee Sasa hivi nimeanza mazoezi kitambi kimetoka napiga pamba Kali aisee huwezi amini wakuu mpaka wake za watu wananishobokea nilikua najiona na gundu kumbe ilikua kitu kidogo sana halafu nilichogundua wazee ukimfata demu akiwa na wenzake utoboi...
  13. C

    Huyu jamaa aliterend kwa design yake ya nguo

    ‎ Huyu Jamaa anaitwa Chibu. Chibu alikuwa tayari ameshinda tuzo nyingi sana za muziki, mpaka akawa mshindi wa tuzo za mwimbaji bora Afrika Mashariki. Sasa baada ya mafanikio hayo, akaamua kufanya sherehe kubwa ya kusherehekea ushindi wake. ‎ ‎Lakini Chibu hakuwa mtu wa kufanya mambo ya kawaida...
  14. K

    Kuna shida Gani ukisaidiwa kutolewa nguo zako kwenye kamba

    Mko poa wakuu, Kuna hii tabia ya mtu akifua nguo zake Kisha akianika kwenye kamba harafu akiwa ametoka hayupo huku nyuma hutakiwi kuzitoa kwenye kamba mpaka mwenyewe arudi ata zinyeshewe na mvua zikiwa zimeshakauka hapendi yani!? Akija mwenyewe atazianua, basi ujaribu kuzitoa labda Kuna mvua...
  15. Waufukweni

    Kamisheni ya Utalii Zanzibar: Nguo fupi marufuku kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani

    Kamisheni ya Utalii Zanzibar imewataka Watalii, Wafanyabiashara na Wadau wa utalii Zanzibar kuheshimu maadili ya Dini na Utamaduni uliopo Zanzibar kipindi hiki cha kuelekea mwezi mtukufu wa ramadhani. Kamisheni imesema ni lazima Migahawa na sehemu za chakula zilizo nje ya Hoteli zifungwe hadi...
  16. B

    Ogopa kupokea zawadi ya nguo kwa mtu aliye uchi

    Ogopa kupokea zawadi ya nguo kwa mtu aliye uchi. Inakuwaje akusitiri ilihali yeye hajajisitiri?
  17. Mad Max

    Kuna brand za nguo zilitikisa sana aisee!

    Sijui ata brand izi zilipotelea wapi. Ila enzi zake zilisumbua sana. Phat Farm: Hawa walikua na nguo, na viatu. ((P)) FUBU DADA: Hawa majeans yao yalikua na mifuko ya nyuma mikubwa, kaunta buku haukunji. G-Unit: Hii ilikua clothing line ya wakina 50 Cent na wenzie. Sean John: Nadhani...
  18. Pakome

    Inaonekana kama Elon Musk anapenda Nudity, Twitter akaita X, Wikipedia akapendekeza Dickpedia, Grok kupata kashfa ya kuvua Wanawake nguo

    Binafsi sijajua ni kipi kilichopo kwenye akili ya Elon Musk, pengine ana uraibu wa ngono kwasababu matukio yake ya kashfa za ngono yanafuatana Baada ya kununua Twitter akabadilisha jina na kuitwa X lakini pia akaruhusu maudhui ya ngono hata za ulawiti X ni alama ya utambulisho wa ponografia kwa...
  19. figganigga

    Azam Sports Wamefuta Picha zote za Mwakinyo alizovaa nguo yenye picha ya Tundu Lissu

    Azam Sports Wamefuata Picha za Mwakinyo alizovaa nguo yenye picha ya Tundu Lissu. Mara ya kwanza walipost hii, kabla ya kufuta picha zote zinazomuonesha Tundu Lissu Katika Mchezo wa ngumi uliokiwa Ukirushwa Azam TV, Bondia wa Tanzania Hassan Mwakinyo, alivaa t-shirt yenye picha ya Mwenyekiti...
  20. B

    Nicodemus amekamatwa na watu waliojitambulisha kuwa ni askari wakiwa na nguo za kiraia

    Anaandika Twaha Mwaipaya kupitia ukurasa wake wa Instagram "Nicodemus Julius loyore Amekamtwa jana ofisini kwake walienda watu waliovaa kiraia wakajitamburisha kuwa ni Polisi wakamchukua na kuondoka nae Ofisi yao ipo mataa ya kamata jengo jeupe upande wa kulia kama ukiwa unaelekea mnazi mmoja...
Back
Top Bottom