Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,117
- 49,476
ulishapata mkuu
Mambo yote ni Cabs japo wamepandisha bei kidogo
ulishapata mkuu
Hii hata Mimi nasubiria jibuNatamani kujua hizi wallpaper wanauza wapi kwa jumla hapa bongo
Hizi wallpaper tuji organiz tuagize mzigo China tu tukipatikana watu wa5 tunaagizaHii hata Mimi nasubiria jibu
Kwanini watano?Hizi wallpaper tuji organiz tuagize mzigo China tu tukipatikana watu wa5 tunaagiza
Ili kuigawana MOQ mkuuKwanini Watano?
Hizi wallpaper tuji organiz tuagize mzigo China tu tukipatikana watu wa5 tunaagiza
Msaaada jamani wanapouza simu kwa bei ya carton hizi simu ndogo please
Mkuu form six kali za.jumla.wanauza wapi na bei ikojeKkoo agrey (kwenye kanisa, upande wa kushoto Sasa kama unatokea jengo la simba
Maduka ya ndani wanauza jumla jumla ila hawatoi risiti, na simu zenyewe ni tecno Itel huawei kampuni zile za kichina
Umenielewa??
Mkuu wapi napata raba kali ambazo zipo safi hazijaisha kule chini kwenye soli yake.Kkoo agrey (kwenye kanisa, upande wa kushoto Sasa kama unatokea jengo la simba
Maduka ya ndani wanauza jumla jumla ila hawatoi risiti, na simu zenyewe ni tecno Itel huawei kampuni zile za kichina
Umenielewa??
Mabalo ya mashati ya kiume grade 1 yanapatikana wapi wadau
Mkuu wapi napata raba kali ambazo zipo safi hazijaisha kule chini kwenye soli yake.
Kwa bei rahisi
Mabalo ya mashati ya kiume grade 1 yanapatikana wapi wadau
Asante kwa ushauri,je unajua wapi wanapofungua mzigo mzuriNingekushauri ni bora upoint moja moja kuliko mabalo maana mengi wanachakachua
Au labda uende mipakani atleast huko unaweza kupata
Asante sana mkuu samahani niulize tena.Ilala boma/Karume wahi saa10/11 alfajiri kuwa makini Kuna wezi sana huo muda