mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,951
- 131,272
Hivyo nimetoka kumla kambale mbichiiii,halafu ankali hayo mavitu sijui pweza nikiwaangalia tu ata kujaribu kula nashindwa kwa jinsi walivyoAkali chakula cha baharini kitamu sana.
Karibu nikufundishe namna ya kuwala hawa kamba, chaza, kaa, pweza, ngisi, nk
Siyo kila siku perege na kambale tu
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app