Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 3,816
- 8,470
OK... Nanunua kesi...Halafu ukiwatoa hapo unataka wakale kwa mama yako?
Hii nchi ni masikini, lazima tuelewe kwamba vipato vya wananchi vinategemea biashara ndogo ndogo kuendesha maisha.
Huwezi kujenga shopping malls kwa ajili ya mamantilie wanaouza vitumbua na mihogo!
Grow up, kiddie. Acha utoto!
kwa hiyo mimi nalipa kodI ya fremu na kodi ya TRA ...
Halafu kenge aje kupanga nyanya au mitumba mbele ya duka langu sababu yule mfu alikuwa anataka kura zao...
Napoteza wateja wangu sababu Pumbavu mporimpori kaacha kulima vijijini na kuja mjini kumshobokea dikteta....
Wakafe mbele, tunaanza upya na yule jinamizi hata kaa atokee tena katika nchi yangu...
Natafuta kupigwa ban... easy...