BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,006
Mkuu kukuombea uishi miaka mingi kuna ubaya?Mku usiniombee duwa mbaya mie nipo kijijini wala huko Dar sipatamani. Ninalima na kumtegemea mungu sio mtu.
Hio miji inawenyewe,mngekuwa na nyie ni wa huko mngekuwa na fremu wala msingebishana na serkali.
Aliewapeleka mjini ndio wa kumuuluza kwa nini aliwapeleka barabarani .
Walikua wanaweka uchafu tuKumbe hii ishu ya wamachinga ni tz nzima?
Jipige kifuani ukijiambia kuwa ww ni MJINGA.Wanabomoa vibanda vyenu wanaweka vibanda vyao. Mtetezi wenu ndio kashaondoka pambaneni na Hali zenu. Wajanja wameangalia wamejua mnapiga hela maeneo fulani fulani. Wametafuta njia ya kuingia hapo na ndio hio kwamba vibanda vyenu vichafu havifai kuwa hapo ILA vibanda vyao visafi ndio vinastahili! Wewe mlalahoi kibanda chako peleka kijijini kwenu huku tunataka vibanda vya akini tipisi, fishifishi na wajanja wengine wa mjini
Wakihama Kutoka Utumwani Egypt Kwenda Nchi Ya AhadiPicha wapi
2024 tutarudi kuwasalimia.
Safi kwa Hili naiunga mkono selikali ya ccm biashara zifanywe .maeneo maalumIkiwa leo saa sita za usiku inatimia Rasmi muda wa mwisho waliopewa kuondoka barabarani.
Nilipita leo kariakoo nikakuta wanasema wameongezewaa week Mbili,Bigbrother nimeskia wakiongea kia wametangaziwa mwisho saa6 usiku huu
Kuna machinga nimepita pale ilala bado wapo… nishaandaa viboko gunia zima kwaajili yao. Acha nilale niamke na nguvu watakoma.
Eff off BRAINLESSJipige kifuani ukijiambia kuwa ww ni MJINGA.
Eff off utakufa wewe kwanza ngedere we!Mizimu tu Kama wewe ndio wanaelewa. Kufa kama yeye sasa, mbona unatupigia kelele humu
😂 😂 😂Tunafukuza chawaaaaaa
Halafu ukiwatoa hapo unataka wakale kwa mama yako?Jiji linakuwa kama kijiji cha mazezeta vipe..disorganization kila sehemu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Una umama mwingi sana. Kwamba unadhani ndo nitajisikia offended ama?Wewe si unasubiri kuliwa tigo upewe hela za kutanua mjini, huwezi kuelewa hustles za wanaume wanaopambana kutafuta maisha kwa jasho.
Endelea kupiga picha makalio uzirushe instagram watu wajilie vinyesi.
Wacha kazi iendelee...
Acha kupenda dezo, ingia mtaani uone hustles za wanaume.Una umama mwingi sana. Kwamba unadhani ndo nitajisikia offended ama?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app