Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,510
Kuna machinga alikuwa anakaa hapa mtaani .kahama anasema kodi kubwa
Sigara ipi mate ?Ooh am sorry Mr. Planner, sawa ni uharibifu but frankly speaking hukuwazoea? Sigara ulikua unaenda kununua soko la kisutu? Aah
Waendee tu ila wakomee huko huko..mana watajua hawajui.Chekeleeni tu vijana wameshaanza kuchukuliwa na IS
Kule Arusha nilipita juzi.Wala hawajui kinachoendelea.Bado wamejazana kila mahali.Mtaa wa Congo (Majengo) ndo kumekucha.Nadhani kwa vile mji wa kitalii, hawahusiki.Ila likiisha hili lifuate la bodaboda.Nao wajipange.Vinginevyo waanze kusoma PGO.Walikua wanaweka uchafu tu
Sigara zi zile unazovutaga, jiandae kutoka gongo la mboto kwenda kununua kisutu sokoni sasa. Ndiyo utakumbuka umuhimu wa mangi barabarani 😛Sigara ipi mate ?
Tuwekee picha tuone mkuuMbagala Zakhiem imekua safi asubuhi ya leo njia ya kwnda Mbagala Kuu ilikuwa haipitiki kwa gari
Kwamba sigara haziuzwi madukani? Walikua wanauza machinga peke yao?Sigara zi zile unazovutaga, jiandae kutoka gongo la mboto kwenda kununua kisutu sokoni sasa. Ndiyo utakumbuka umuhimu wa mangi barabarani 😛
Gongo la mboto ipo wapi hapa Tanzania ?Sigara zi zile unazovutaga, jiandae kutoka gongo la mboto kwenda kununua kisutu sokoni sasa. Ndiyo utakumbuka umuhimu wa mangi barabarani
Wanabomoa vibanda vyenu wanaweka vibanda vyao. Mtetezi wenu ndio kashaondoka pambaneni na Hali zenu. Wajanja wameangalia wamejua mnapiga hela maeneo fulani fulani. Wametafuta njia ya kuingia hapo na ndio hio kwamba vibanda vyenu vichafu havifai kuwa hapo ILA vibanda vyao visafi ndio vinastahili! Wewe mlalahoi kibanda chako peleka kijijini kwenu huku tunataka vibanda vya akini tipisi, fishifishi na wajanja wengine wa mjini
Mnaotembea kwa miguu mnasababisha foleni roadMuhimu sana serikali kuhakikisha matajiri, wenye maduka makubwa hawaweki meza zao au kujenga vibanda vyao safi.
Sheria ile ile iliyowatoa wamachinga itumike kwa watu wote bila kujali status zao, upendeleo, rushwa.
Njia za wanaotembea zibaki wazi kwa wanaotembea kwa miguu.
Wenzetu walizingatia mazingira ya miji ila pia walizingatia na mazingira ya vipato vya hao wananchi!
Machinga wengi ni graduates kwa sasa, unapomfurumusha eneo analopatia chochote kitu na kumuajiri huwezi unategemea familia yake ya mama na katoto kake pekee wakale wapi?
Wenzetu wanaweka mazingira ila bongo mazingira ni kutupwa Vikindu huko! Ukiangalia wanunuzi wenye access na kariakoo hawawezi kufuata vitu vikindu huko eti kisa bei ya nafuu!
Mnaotembea kwa miguu mnasababisha foleni road
Main road mkuu, sio maskaniHaha, wote ni watembea kwa miguu wakati mmoja au mwingine.
Mmh ipo huku Sudani Kusini mwa Tanzania 😬Gongo la mboto ipo wapi hapa Tanzania ?
Maduka yapo Barabarani yalipobomolewa ama yapo mbali na sisi wengine tulipo.Kwamba sigara haziuzwi madukani? Walikua wanauza machinga peke yao?
Kuna route gani ya ndege inayoweza kunifikisha huko ?Mmh ipo huku Sudani Kusini mwa Tanzania
Naona huko Mbezi mnalindwa na mjomba yakeHuku mbezi luis sisi wamachinga tumetii amri bila shuruti.